waneemayote,
Mtupu, unataka kutuaminisha wazee wetu yahani Mabibi zetu na Mababu zetu walikuwa wote "masoul mate" kiasi kwamba wamewakuza baba zetu na mama zetu, mpaka tumezaliwa sie mnaojiita vijana wa deeplove, hizo ni assumption tu, hakuna kitu ni kuporomoka kwa maadili pamoja na tatizo la kiuchumi linalolikumba dunia,
Ndo vitu vya msingi km visababishi
 
Wanaume wenye kuwa wanaume tumepungua sana ... yani mwanaume mwenye kuamini na kushikiria msimamo kuwa atampenda mwanamke wake no matter the circumstances ni wachache.....

ndo maana wengine wakitingishwa kidogo tu anamuacha mwanamke wake, mwingine yeye anaogopa majukumu ya kulea mtoto kwakua bado hajala bata na the likes......

mwanaume anamtoto na mke, ila hukuti anakumbuka kununua nguo za mtoto na mke wake, kutwa unamkuta anachagua raba kali mara tshirt na makoti makali apendeze naonaga ajabu sana
 
jinsia yako tafathali
 
Siku hizi pia ma single father kila corner in short kuzaa bila mpengo nikutesa watoto tu. Watu waache ubinafsi
 
Hayo. Ni mashaka lakini kuolewa na mtoto kabisa umeitangazia dunia kuwa huna maadili
 
Wanaume tumeumbiwa majukumu haina shida hata awe na watoto watano watu wanakea tu kwani msosi kitu gani ishu ni baba mtoto lazima kujiridhisha kwa kina wameachanaje na mawasiliano yao yakoje
 
Hata Kama kagegedwa ushahidi huo huna lakini aliezaa hio ni lebo na Kuna mahusiano yasiokoma baina yawazazi wawili
 
Ila asilimia kubwa watoto wakambo unawatumikia lakini mwishowe hukugeuka na kurudi kwa baba zao n
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…