Amezaliwa mwaka 2000 march, amemaliza std 7 2013, aliolewa 2015 akiwa na 15 yrs. Mtoto wa kwanza akamzaa 2016 na mtoto wa pili 2019.

Kama unahisi chai ngoja nije na mkateView attachment 1470350
Binti kazidi umalaya umri huo angekuwa shule na wewe nwache mwenzako unataka umfanye single maza wa watoto watatu
 
Yashanikuta hayo mzee baba mwanamke ananipa risala ya kibabe eti wanangu waheshimu Kama unavyoniheshimu nlijihisi vibaya Sana kuwa ananionaje nlichofanya na Mimi nkazaa nae lakini ndoa no
 
Uliposema ana miaka 20 alaf ana watoto wawili then ukaja kusema amekua kwenye ndoa kwa miaka mitano. Ikabidi niishie hapo.

Sometimes huwa sipendi ujinga
May be aliolewa akiwa na miaka kumi na tano.Hivyo inawezekana Mtoa masimulizi yupo sahihi.
 
Wape! Wape!,wape tena.
 
Anzisha Leo tupate elimu zaidi
 
Hii kitu inakera kichizi utaskia mm nampenda mwanangu utafkr akiwa na nyege mwanae atamtomba

Sent using kvant
Mweee wajameni [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wakati mwisho wake na mtoto kwenye sebuleni tu,
chumbani ataingia na asiye ndugu yake, hili jibu daa!

Sent from my SM-T800 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…