Samcezar
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 13,095
- 22,731
Ntawakomesha sasa..... Wakiweka ugoko naweka jiwe...... Hadi wachoke kufuta pumbavu zao.Jamaa wameunganisha uzi,,, ila ukweli uko palepale masingo maza wakongwe wanawashawishi mabint wadogo nao wawe masingo maza na kuwajaza ujinga kuwa wanaweza kuish bila kutegemea mwanaume lakin ukweli utabak palepale hata uwe na pesa ila pesa siyo kila kitu... Na wanawadanganya mabint wadogo ili aibu iwe ya wengi