Ntawakomesha sasa..... Wakiweka ugoko naweka jiwe...... Hadi wachoke kufuta pumbavu zao.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Dah jamaa umeingea kama Shakespeare's art work..... Safi sana.
 
Napinga mkono hoja kuoa single mother ni sahihi sababu unaweza kuoa mrembo alfu ukakuta ni mgumba
Na siku hizi raia wanatia mimba kwanza ndipo process za kupelekana kwa wazazi

kutambulishana ziendelee,raia saivi hawa bet tena N mambo ya mauhakika kwanza.
 
Nimetamani kulike hii comment mara mia...
Kuna Wanaume kibao na akili zao wameoa Single Mother na Ndoa zao zina amani..
 
Thiss is good broo

Shukrani sana
 
Hujambo Cariha? [emoji870][emoji870][emoji870]

Siku mbili tatu hizi sijakusoma. Ngoja nianze kusaka nione kama hujaingia kwenye ligi. My hero [emoji16][emoji16][emoji16][emoji123][emoji123][emoji123][emoji109][emoji109][emoji109]
Mimi sijambo kabisa hofu kwako tu,
[emoji23][emoji23][emoji23]Hata siku hizi mbili hujanisoma uone ligi yangu oooh, hata hivo sipendi ligi Mimi basi tu watu hunielewa tofauti na kuanza yote
 
Afu me natamani sana kukujua in reality darling, cause tayari nimeshaona taste yako, unapenda rivals na sisi wanaume na mfumo dume mfumo natural wa dunia hii ambao hata wanyama wenzetu na mimea wanaufuata.....
[emoji23][emoji23][emoji23]siku hizi mifumo dume tupa kwenye dustibin haina nafasi Ni mwendo wa generation equality
 
Kodi mbona hata sisi tunatoa wanawake wengi ndo hujishughulisha kuliko wanaume walio wavivu, Mimi siwezi ogopa kuzaa kisa Kuna watu wanananga single moms huku that's never nazaa kwa ajili yangu sio kwa ajili ya jamii, jukumu la kulea langu, mimba nimebeba miezi Tisa, labour naingia mwenyewe kwanini mtu Baki uhangaike na kuumizwa na Uhuru wangu binafsi wa maisha
 
Acha uongo, wanawake hakuna wanachofanya, sisi Ndio tunalipa gharama. Wewe unasema hivyo sababu bado haujatoka katika usichana kuingia utu uzima one day utajua kuwa maisha sio pipe dream ni reality. And when it hits u then you will understand the level of the magnitude of your ignorance.
 
Hao wanawake mnaowalipia labda ni wa sayari nyingine maana najua wanawake wanachakarika Sana hivo vicent vyenu havitoshi kabisa.
Mimi naelekea kwenye ubibi na Nina wajukuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…