Humorous Junior
JF-Expert Member
- Jul 19, 2018
- 1,598
- 1,410
Hapo vip!!
Binafsi nimekuwa nikiwaacha wanawake ambao wameshazalishwa na ambao hawajaolewa..nina mitazamo ifuatayo juu ya hawa watu.
Mimi nikimuona mwanamke ambaye ameshazalishwa na hajaolewa hata akiwa na miaka 18 na amezalishwa na muona ni mzee kuliko mwanamke mwenye miaka 33 na ambaye bado hajazalishwa.
Pili naona nikimuoa mwanamke ambaye ameshazalishwa nahisi kama namuoa mke wa mtu.
Tatu,mwanamke alizalishwa naona kama utamu umepungua kuliko huyu ambaye bado hajazalishwa.
Nakaribisha mitazamo tofauti na yangu.
ITAKUWA SAWA KWA SABABU YA DHAMBI YAKE YA UBAGUZIkwani ukimuoa ambae hajazaa afu ukajikuta unalea watoto 3 wote sio wako hapo vipi??!!
Kwa taarifa juzi nilimfukuza mmoja..anataka mimi ndio niwe mlezi wa mtoto wake..hizo laki 3 nilizompatia zinamtosha..mkisha zaliwasha mnajidai mnajua kupenda..njambavu nyie...kwendaa hukoHata wao watashukuru kukukwepa pia, ...
Nihali yakawaida sana wengine niwemependa kabisa, kuingia kwenye mambo ya ndoa sio ndoto ya kila mtu.Tunza akiba ya maneno mdogo wangu.
1. Ukimuoa huyo ambae hajazalishwa akazaa mtoto wa kwanza nae utamu utaisha? Atageuka mzee hapo hapo?
2. Unahisi wote walipenda kuzalishwa bila kuolewa.?
Maneno ya BUSARA hayaTunza akiba ya maneno mdogo wangu.
1. Ukimuoa huyo ambae hajazalishwa akazaa mtoto wa kwanza nae utamu utaisha? Atageuka mzee hapo hapo?
2. Unahisi wote walipenda kuzalishwa bila kuolewa.?
JIANDAE NA MASHAMBULIZI TOKA SIDE B!🤣🤣🤣Hapo vip!!
Binafsi nimekuwa nikiwaacha wanawake ambao wameshazalishwa na ambao hawajaolewa..nina mitazamo ifuatayo juu ya hawa watu.
Mimi nikimuona mwanamke ambaye ameshazalishwa na hajaolewa hata akiwa na miaka 18 na amezalishwa na muona ni mzee kuliko mwanamke mwenye miaka 33 na ambaye bado hajazalishwa.
Pili naona nikimuoa mwanamke ambaye ameshazalishwa nahisi kama namuoa mke wa mtu.
Tatu,mwanamke alizalishwa naona kama utamu umepungua kuliko huyu ambaye bado hajazalishwa.
Nakaribisha mitazamo tofauti na yangu.
Oyoooo!aisee tunafanana kifikra,
bora nipige puli kuliko nigegede KE aliyezaa
kitendo cha pale kati kupita mtoto tayari kwisha habari yake