toughlendon_1
JF-Expert Member
- Feb 7, 2018
- 6,283
- 11,253
Sasa mbona hata mkiolewa hamuachi tabia mbovu za kupigwa bolo na ma EX wenu.
"Kwani nikimpa inaisha" kakuonaje aisee mpaka akujibu hivyo? [emoji848]
Hahahahah jamaa hela hana basi hata mkwara kuonesha uanaume wake napo pia chenga?Another Man down, I repeat another man down....ivi kweli kabisa mkeo anakuaga anaenda kukazwa na lijamaa we unaona sawa ? why ? kwanini mke wa mtu aliwe na mtu mwingine ? Wakuu mbona mnalogwa vibaya ? daaaah... Jamaa jitafakari , huyo mwanamke kakuona anakuweza kila idara
Hivi unaweza kushea penzi kwa mke wako na lijamaa lingine? "nampa tu mara moja ananisumbua sana"
"Kwani nikimpa inaisha?" Hayo ni baadhi tu ya maneno ya mke wangu sasa ivi imekuwa ugomvi tu, hivi ukigundua mke wako amenyanduliwa na mtu wake wa zamani, unaweza kuishi naye kama hakujatokea kitu chochote?
UnaweZa ukamtingisha mwanaume kweli kabisa hasa ukijua anakupenda...ila ukifika hatua ya kumwambia Kwani nikifanya Mara Moja na jirani ...inaisha.Mwanaume imara, msimamo na sauti ndio UANAUME...
Ukiona mwanaume unapandwa kichwani basi you re not a REAL MAN...
Kweli aisee. Pia utokea na kwa wanawake watulivu hujikuta wakiolewa na wanaume wasiotulia.Ushauri ni kuacha kumfuatilia utaishi kwa amani fanya mambo yako, halafu sijui kwanini wanawake wahuni huwa wanapataga wanaume waaminifu sana
Huyu hana sifa ya ubaharia ana sifa ya kadimbwilia au kadimbwi chekwa.Ushapigwa limbwata ndo maana unashindwa kufanya maamuzi magumu, piga chini utakufa kwa pressure halafu mabaharia kwenye vile vikao vyetu moja ya agenda zetu tuliazimia kuto kuoa ma single mama ikiwa ni sambamba na kutosomesha mchumba..we umeanzaje?
Jamani...shida Sio single mother hapa..shida Ni mwanaume.. Huyu mwanaume hata angeoa ambae Sio single mother haya yangemkuta...Hana sifa za kiume...Niliwahi kusema kuwa single mothers wengi mentally hawako ok,majeraha ya kuachwa yanawafanya tofauti sana na wanawake ambao hawajazalishwa,ni wachache sana huwa wanajua kwanini wako vile na wanapoanza mahusiano mapya wanatakiwa wawe vipi,ila wengi ni pasua kichwa sana,akishaingia kwenye mahusiano mapya anakuwa kama yuko vitani ni full kupambana.Can you imagine mtu alikuacha baada ya kukutia ujauzito,tena inawezekana akaenda kuoa mwanamke mwingine,lkn inafika siku anakutongoza unampa,bila ya kujali una mtu kajitoa muhanga kukuchukua wewe na watoto wako akaamua kukulindia heshima,na usikute hata mitaani anatambulisha kuwa wale ni watoto wake...!
Kusikia Kwa Kenge Mpaka Atoke Damu Puani Na Masikioni
ππππ πππππππ πππππ
Kishindo Cha Awamu Ya Tano
Nasema Uongo Ndugu Zangu!!!!
Mh...hayatamkiki haya maneno Jamani...hivi unaanzaje...Huyu mwanamke alianza kidogo kidogo anamtest ...mpaka hapo alipofika..anamjua huyo mwanaume anaefanya na mke wake...na mke anamwambia atampa Mara Moja..Ni sawa, nilikuwa nazungumzia kwa upande mwingine. Mke hadi afikie hatua ya kukutamkia maneno kama hayo ujue wewe mume ni dhaifu sana.
Hivi naanzaje kwa mfano? Mimi huyu huyu nimtamkie huyu mwamba wangu maneno kama hayo?[emoji848] Hata in my dreams nashindwa kufikiria nini kitatokea. Kimoyomoyo may be..
Hapa sawa kabisaa hao sio yaani hawafai 98% yaomlishaambiwa hao watu sio wa kuoa.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]...Kuna Mambo ya kustaajabisha Sana...Watu wanadanganya..Huyu kaona AWE MUWAZI TU..kwani atanifanya Nini?..Kwamba.."ANAENDA KUTOA-MBWA NJE"
hatat sana
Mkuu kweli wanagongewa..Huyo wako hua anakuaga anaenda kumpa Muuza genge nyuchi... Atarudi na nyanya na fungu la dagaaa?We endelea kuwa nae tu,kwa siku hiz karibia kila mwanaume anagongewa na mpaka wanajua lakini hawaachani na wake zao,hata hao hapo juu wanaokushauri kuachana nae wanagongewa daily
Akikujibu naomba unitagMkuu kweli wanagongewa..Huyo wako hua anakuaga anaenda kumpa Muuza genge nyuchi... Atarudi na nyanya na fungu la dagaaa?
Nyie mnaachagaSasa mbona hata mkiolewa hamuachi tabia mbovu za kupigwa bolo na ma EX wenu.