Sabalheri habibty...wazalishaji nyie nyie, wapondaji nyie nyie....
acheni kuwamimba watu msiokua na malengo nao
Tena wewe ningeanza na wewe ili ulee maana unaonekana huna mtoto wa kukusumbua unatamba sana humu jukwaaniwazalishaji nyie nyie, wapondaji nyie nyie....
acheni kuwamimba watu msiokua na malengo nao
mimi??!!! niwe soda iliyoonjwa???!!Tena wewe ningeanza na wewe ili ulee maana unaonekana huna mtoto wa kukusumbua unatamba sana humu jukwaani
mimi??!!! niwe soda iliyoonjwa???!!
ningekuonja wewe....
Kivipi?Nakuhakikishia mwanamke ndiye mwamuzi was either abebe mimba au asibebe...na akiamua kutobeba katu hawezi kubebaaa
Habari za kuadimika my lavu
Tusingizie majukumu aiseeHabari za kuadimika my lavu
Kabisaaa yaanwazalishaji nyie nyie, wapondaji nyie nyie....
acheni kuwamimba watu msiokua na malengo nao
Maweee!!! chupa ya soda ilisha tumika na kutumika weee!! zaidi ya mara mia! midomo mingi imepitia pale!! weye unaiona mpya una akili kweli weye??? ...hata ukiiifungua haikuonyeshi ni mpya!! zaidi tu utasikia ka gas pfyuuuu!!!Raha ya soda ukute haijaonjwa"
Inakuaje pale utakapo oa alafu mama mtoto akaweka msimamo kuwa watoto sio wako, kwaa maana ya kukataa kuwapa ubini wako na akasisitiza kuwa wataendelea kuwasiliana na baba yao?Nimesoma post yako. Nilichokiona kwako unataka wanaume wote wawe na mawazo kama yako kitu ambacho hakiwezekani. Wewe unapoona single mom hawafai kuna wanaume wengine wanaona wanafaa. Mwanamke kuwa na mtoto haimaanishi kashapoteza sifa ya kuolewa. Mwanamke mwenye mtoto anapoingia kwenye ndoa mpya huwa makini na huwa na upendo sana kwa mumewe. Ishu ya kusema kwamba atakuwa anawasiliana na baba wa mtoto ni akili ya mwanamke. Kuna wengine hawathubu hata kuwasiliana na baba wa mtoto coz wanajua anaweza haribu ndoa yake muda wowote. Ninamfano wa jamaa mmoja hapa Mafinga alioa binti mwenye mtoto. Familia yake walisema sana lakini jamaa akala msimamo kwamba moyo wake unaamani na yule binti. Jamaa akamuoa na kuishi nae. Kitu cha kwanza jamaa akampenda yule mtoto kama mwanae na akampa ubini wake. Watu wengi wakajua ni mwanae. Baadae yule binti akamzalia jamaa mtoto wa kiume na wakawa wanapendana sana. Sasa hvi wamefanikiwa kimaisha vizuri na wanaishi kwa furaha. Jambo la msingi ni upendo hayo mengine ni mbwembwe tu
Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
Tena wewe lazima tukumimbe uwe singo maza,tusepe tukuache upambane zako ulee mtoto huko.mimi??!!! niwe soda iliyoonjwa???!!
ningekuonja wewe....
Sasa asipojiongeza yeye kupanda,nani atampenda.yaaani singo maza lazima uwe mnyenyekevu,uwe na kihere here cha kupendaUtateseka sana unadhani maisha yana formula. Tafuta Furaha achana na propaganda.
Single mothers wanajielewa sana na wanajua Kupenda bwa mdogo
upo wapi niijie hiyo mimba sasaTena wewe lazima tukumimbe uwe singo maza,tusepe tukuache upambane zako ulee mtoto huko.
He he heeππππ
Aisee wakishakuoa hiyo mimba mie naomba tuu unikumbuke kwenye threesome ya wanawake wenye mimbaupo wapi niijie hiyo mimba sasa
Nipo mbona hapa,tuyaanze tu mimba ikaingieupo wapi niijie hiyo mimba sasa
Unapenda threesome?Aisee wakishakuoa hiyo mimba mie naomba tuu unikumbuke kwenye threesome ya wanawake wenye mimba