Single madha ni mtu aliyezalishwa tu hovyo.Kumbuka ukifa ukiwa kijana hivyo mkeo atakuwa single mother!! Au hata ukiachana nae pia
Kwahiyo utataka tumuache tu kiunyonge mpk akufe bila wasamaria wema kumnusuru..
Acha ubinafsi .Single mother Ni idealistic concept tu.. vijana wengi mliochini ya miaka 30 ndio mnatupigia kelele humu.
Uliwahi kuona wapi MTU Hana Pesa alafu akajiamini?
Labda awe kichaa
Mfano mzuri ni Zari the boss lady.Hiyo mbona iko wazi, wala haihitaji kuwa na Akili nyingi au kusomea mpaka PhD ili kuielewa.
Wanawake ni tofauti na Sisi wanaume.
Sisi wanaume tunapooa tunaoa Kwa sababu tunayemuoa tunampenda hasa.
Lakini Wanawake anaweza kuolewa Kwa sababu mazingira na muda umemlazimisha kufanya hivyo.
Anaweza asiwe mwanaume WA ndoto zake lakini afanyaje.
Kijana anaenda kuoa Mwanamke aliyezalishwa na mwanaume wa hadhi na level ya juu alafu hapohapo analazimisha Pasiwepo mawasiliano [emoji23][emoji23][emoji23]
Mpaka unajiuliza huyu kijana kalogwa au?
Mfano mzuri ni Zari the boss lady.
Kazaa na Diamond wameachana lakini kama vile baada ya Diamond hajawa na mahusiano tena.
Ana mahusiano lakini baba watoto akienda south vi ben 10 vinaambiwa kaendi mbaliii. Mpaka simba aondoke ndio utaona sasa viben 10 vinarudiwa.
Nilichojifunza akili fupi za wanawake huwa wanageuza kama mtaji akizaa na mwanaume, pia wengine wanategesha mimba kumjaribu mwanaume anareact vp kama positive basi anaachia mimba inaingia baadae mwanaume maisha yanabadilika mke anaamua kumtenga mme, wengine wanaamua kuwabambikiza mimba kila mwanaume aliyetembea nae ndani ya miezi 2 kila mwanaume anakuwa na kadi yake ya Kliniki kumbuka siku hizi kadi zinauzwa stationary 200 tu kwa hiyo wanaume wanapangwa, mtoto akizaliwa hapo kadri mtoto anavyokuwa wazazi wanaanza kupungua wanakutana na mtoto ana sura ngumu pua kama ngumi baba pua ndogo mama pua ndogo madingi wanaanza kujichomoa anabaki mwenye mtoto unakuta ni bodaboda hana nyuma wala mbele single mother anaanza vilioWanasema kinga zinawasha eti
Hii inatokea mara nyingi sana, mwisho wa siku wanabaki na majuto.Nilichojifunza akili fupi za wanawake huwa wanageuza kama mtaji akizaa na mwanaume, pia wengine wanategesha mimba kumjaribu mwanaume anareact vp kama positive basi anaachia mimba inaingia baadae mwanaume maisha yanabadilika mke anaamua kumtenga mme, wengine wanaamua kuwabambikiza mimba kila mwanaume aliyetembea nae ndani ya miezi 2 kila mwanaume anakuwa na kadi yake ya Kliniki kumbuka siku hizi kadi zinauzwa stationary 200 tu kwa hiyo wanaume wanapangwa, mtoto akizaliwa hapo kadri mtoto anavyokuwa wazazi wanaanza kupungua wanakutana na mtoto ana sura ngumu pua kama ngumi baba pua ndogo mama pua ndogo madingi wanaanza kujichomoa anabaki mwenye mtoto unakuta ni bodaboda hana nyuma wala mbele single mother anaanza vilio
Hayana formula haya.
Mwisho wa siku tunalaumiwa wanaume wote kumbe ni uzembe wa mwanamke kampanulia mapaja bodaboda hana uwezo wa kumlea kwa vile tu anamsafirisha bure na anampeleka kwa wanaume huko kisha anamfuata bodaboda nae anakula makombo kimoko mwisho wa siku mimbaHii inatokea mara nyingi sana, mwisho wa siku wanabaki na majuto.
Kut*mbewa kuko palepale Mr. Acha mbwembwπππ
Tatizo ni assurance.
Unafikiri Kwa nini Wanawake hawataki kuolewa Uke wenza licha ya kujua kabisa mwanaume hawezi kuwa na mwanamke mmoja?
Jibu lake linafanana na concept yako
Na ushauri huu wa bure hawataki kuchukua.Mtu huna pesa umefika mlimani city au hoteli nzuri unajiamini vipi?
Mtu haujavaa nguo nzuri kisa hauna pesa utajiamini vipi?
Mtu umeenda Kanisani, kuna harambee Watu watoe laki mojamoja alafu mfukoni Una elfu tatu ya nauli, utajiamini vipi?
Umeenda Hospital, huna pesa utajiamini vipi?
Unajua hawa Vijana WA sasa Wanafikiri wanaota ndoto
Binafsi sina haja ya kuwaelewa wanawake kabsa , nikibnaw Sana simu moja tu nashusha wazungu natembea .[emoji817][emoji1666]
UKIONA MWANAMKE AMEKUBALI KUISHI NA WEWE UJUE HANA OPTION NYINGINE
Wee ndio mwenye point ya msimgi. Ata hawa breki pumbuz watu wanaoa ni ujinga tuu.Mkuu, as long as aliyemzalisha bado atakuwa yupo hai. hata umzidi vitu vyote vya hii dunia bado akitaka kukugongea, atagonga safi tu.
Mwanaume, kwamwe hutakiwi kuoa Mke wa mtu.
Uko sahihi kitu pekee mwanamume anahitaji kutoka kwa mwanamke ni kile kitobo tuBinafsi sina haja ya kuwaelewa wanawake kabsa , nikibnaw Sana simu moja tu nashusha wazungu natembea .
Na wasingekuwa na hyo mali hakuna mtu angetafuta kuwajua , bora ulenge kwenye lengo hakuna haja ya kuzunguka mbuyu mkuu , issue kuu apa ni mbunye tu.Uko sahihi kitu pekee mwanamume anahitaji kutoka kwa mwanamke ni kile kitobo tu