Kuna SINGLE MOTHER tu hakuna kitu kinaitwa SINGLE FATHER

Kuna vitu kwaajiri ya mwanamke tu na Kuna vitu kwaajiri ya mwanaume tu, hiki ni moja ya kitu kwaajiri ya wanawake

Pia hakuna single father Kwa mazingira na utamaduni WA kiafrika.
Wanaofuata mfumo wa kizungu ndio kuna hayo ya single mother na Single father.
 
Ili uogope itakupasa uwe na Akili timamu.
Kisaikolojia MTU mwendawazimu haogopi kuchukua tahadhari
Na hakuna binadamu mwenye akili timamu ,,,kila binadamu ana uwendawazimu wake,,, wewe uoga ndio uwendawazimu wako,,,na ambae si muoga(jasiri) hiyo kutokuwa muoga na kuwa na ujasiri ndio uwendawazimu wake pia!!!
 
Pia hakuna single father Kwa mazingira na utamaduni WA kiafrika.
Wanaofuata mfumo wa kizungu ndio kuna hayo ya single mother na Single father.
Yes tatizo la wanawake faida za kuwa wanawake wanazitaka na faida za mwanaume kuwa mwanaune wanazitaka tena mbona sisi hatulalamiki mbona mahari na sisi wanaume tusipewe na wanawake nk
 
Single mother ni shida. Mimi huwa siwaonei huruma kwasababu wengi wao utakuta walikuwa wanafunzi ila kiherehere chao cha kukimbilia mapenzi wakanasa mimba. Wengine waliwakataa WASUKUMA wakakimbilia masharobaro na kuishia kutelekezwa. Na kuna baadhi jeuri na kiburi wakashindwa kulinda ndoa zao na kuishia kuzivunja. Ni single mother wachache sana chini ya jua wanaweza wasiwe na tatizo wakiolewa na mtu mwingine. Na katika hao wachache utakuta wapo huko Cambodia, Uzbekistan au Nepal... kwa Tanzania ni ngumu kupata single mother mwenye akili timamu.
 
Yes tatizo la wanawake faida za kuwa wanawake wanazitaka na faida za mwanaume kuwa mwanaune wanazitaka tena mbona sisi hatulalamiki mbona mahari na sisi wanaume tusipewe na wanawake nk

Ndio wapo hivyo walivyo Mkuu.
😀😀
Ni kama Watoto wadogo, wametoka kwetu
 

Hapo kwenye wasukuma hapo😀😀
Wanapenda wanaume wa maana
 
Na hakuna binadamu mwenye akili timamu ,,,kila binadamu ana uwendawazimu wake,,, wewe uoga ndio uwendawazimu wako,,,na ambae si muoga(jasiri) hiyo kutokuwa muoga na kuwa na ujasiri ndio uwendawazimu wake pia!!!

Kusema hakuna Wanadamu wenye Akili timamu umekosea, kwenye Hii Dunia kila kitu kipo
 
Umekuna kunako..soma huu mkasa ulionikuta itakusaidia

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Mimi ni mtu ambaye nilikuwa siamini katika kumuoa single mother ila baadaye nikajikuta nimekutana na single mother nikaona nitengue msimamo wangu ila kwa hili msimamo wangu narudi kuiheshimu.

Mnamo mwaka huu mwezi wa January, nimekutana na mdada mmoja ambaye tulimaliza naye chuo, na kwa bahati nzuri nilikuwa nasoma naye course moja na pia tulikuwa group moja kwenye discussion. Hivyo na mfahamu kwa kiasi alikuwa ni binti mwenye msimamo kwenye mahusiano.

Kipindi hicho sikuweza kumtongoza kwasababu nilikuwa nipo kwenye stress kubwa wakati nasoma university.

Ila ilikuwa namkubali kubali kiasi, ila wakati tukiwa mwaka wa tatu akakutana na jamaa alikuwa ni graduate na anakazi. Jamaa akafanikiwa kumuweka kwenye himaya yake. Kwangu haikuniumiza sana kwa kwasababu sikuwahi kumtongoza akanitoe nje.

Siku zikaenda jamaa akaenda kujitambulisha kwa binti, ikapangwa mpaka siku ya harusi na vitu kwa hivyo.

Jamaa akawa anahairisha harusi mara kwa mara ila kafanikiwa kuzaa naye mtoto, ila baadaye wakaingia kwenye misuguano wakavunja uhusiano na sababu mwanamke anasema jamaa alikuwa na mwanamke mwingine na mpaka sasa eti jamaa anaishi naye na amezaa naye mtoto, anyway mwanamke akamchukua yule mtoto aliyezaa na jamaa akampeleka kwa wazazi wake.

Mpaka nakutanane naye ameachana na jamaa na kwa takribani miaka mitatu. Anyway baada ya kunieleza hayo kwa uchungu nikaanza naye mahusiano baadaye nikaona kwasababu ni mwanamke ambaye namfahamu kitabia tokea nikiwa chuo acha nifumbe macho nifanye haraku za kuweka ndani kwa heshima.

Anyway baada ya kuanza naye mahusiano akapata ujauzito nikaona ili nisimkweze na aone nipo sereous naye ngoja nikamtambulishe, nikampeleka home kwa utambulisho.

Nikawa nimebakiza kibarua ya kwenda kwao ambaye mpaka sasa sijaenda bado.

Sasa leo akanipigia simu akaniambia amepata msiba, nikamuuliza nani akasema baba mkwe wake wa zamani na waenda na dada yake. Anyway sikutaka kumcrash.

Ila nimeona nipate muda wakutafsiri hiyo picture na kujiuliza maswali mengi.

1. Binafsi najiuliza kama ametoka misri na ameamua kwenda Caana kwanini anarudi nyuma

2. Na kama wameachana na hawakufunga ndoa na ameshatambulishwa katika familia nyingine anaenda kule kama nani...?na kwasababu gani hasa...?

Binafsi nikaona huyu anacheza na akili yangu kwasababu kama yupo sereous
 
Single maza tunawalaumu bureee,,,hivi ikiwa wewe uliyemzalisha bado unamfuatafuata na kumtamani unadhani atakataa? Wengi hufanya hivyo ili Watoto/Mototo azidi kupata mapenzi ya Baba,,,Me naamini ikiwa wewe uliyemsababishia huo usingle maza ukawa mbali naye na ukaweka mipaka siyo (minyau)baina yake na wewe sidhani kama kuna kitu kinaweza Haribika,,,ila wengi wa waluowazalisha wanakuaga na tamaa,,,kumbukeni kuna wanaume baadhi ni mara umbwa yaani tunawaita zoazoa.......
 

Noma Sana Mkuu
Pole Sana
 
Habari wana jf?

Oyaaaa vijana wapanbanaji acha niwape mnara iko hivi:
Kiburi, jeuri, Nyodo, kisirani, ujuaji, Midomo na kutoridhika na wanachopewa na wanaume wao hizi ni changamoto za single mothers wa Tanzania kwa 90% ni single mothers wachache sana wasio na hizi tabia na huwezi kuwakuta wanabwatuka hovyo humu mitandaoni,,

Single mothers wa humu wote wanasema wanaume ndio chanzo Cha situation zao lakini Kuna walioachwa kwa ajili ya usaliti na umalaya na hawatakwambia na wenyewe wapo humu bila aibu nao wanatulaumu wanaume

Ukiona lijanamke linashinda mtandaoni kujisafisha makosa yake na kurusha lawama kwa wanaume ujue hilo ni jini kisirani usijichanganye mwamba utaisha vibaya,

hapa mtandaoni anajifanya ye malaika, ye ndio kaonewa sasa we jichanganye,, single mothers wa aina hiyo wengi hawanaga shukrani siku maisha yako yakiyumba halafu baba wa mtoto wake ndio kapata hela my friend utalia kichina...[emoji28]

Ni single mothers wachache sana tena wachache sana nasisitiza wachache sana wanaojielewa na huwezi kuwakuta wanachamba watu humu mitandaoni, wako busy na maisha hawana muda wa kupoteza sio hawa wawindaji haramu kijana mwenzangu kuwa makini na hawa viumbe..

Kuna wapanbanaji wenzetu wako jela sasa hivi na wengine wamekufa kwa ajili ya humiliation za hawa single mothers wa kuokota okota mitandaoni..

Mpambanaji mwenzangu ukipata single mother humu usikurupuke kuoa nenda nae taratibu hatua kwa hatua hakikisha unapata taarifa zake sio zile alizokupa bali zile ambazo hajakupa , muhimu sana kuijua familia yake anayotokea, ndugu na marafiki zake wa karibu hii itakusaidia kujua uko na mtu wa aina gani maana ndege wanaofanana huruka pamoja..

Usiamini kila story mbaya atakayokupa kuhusu baba wa mtoto wake, mama zetu huwa hawasemi mabaya yao kamwe siku zote huwa wanasema mabaya ya baba zetu tu! usibebe picha mbaya dhidi ya mwanaume mwenzio huwezi kujua nini kilimkuta kwa huyo mwanamke we kaa kwenye nafasi yako, mchunguze mtu wako utaujua ukweli tumia akili sio hisia..

Usianze mahusiano na single mother halafu ukaanza kuwekeza kwenye maisha yake moja kwa moja hilo kosa litakugharimu kumbuka nimekwambia wengi wao hawana mioyo ya kuridhika wala shukrani.. we msaidie kwenye kile ulichomkuta nacho wakati huo na wewe endelea na ratiba zako za utafutaji ulizokuwa nazo, usibadili malengo Wala mfumo wako wa utafutaji kwa ajili yake we msaidie kwa kile unachoweza ila usimuingize kwenye mifumo yako wala usiingie kwenye mifumo yake, ukiingia tu kwenye mfumo wake anakuunganisha na marejesho utaimba kikorea mwanawane,,

Kama ni single mother anayejielewa utaona siku zinavyokwenda anajiset kuendana na mfumo wako wa maisha kuanzia kwenye mambo ya fedha, nidhamu hadi chumbani yani anaacha anaji sacrifice kwa ajili yako hata kabla hujatangaza ndoa na wala hana uhakika wa hiyo ndoa ila anafurahia uwepo wako kwenye maisha yake na anafanya jitihada za ziada ili uendelee kuwepo kwenye maisha yake my brother huyo ndio single mother wa kuoa sasa sio hawa wawindaji haramu utawapa jasho lako lote na bado hawataridhika watatafuta mwingine awape zaidi kumbuka nature ya mwanamke ni kiumbe kisichoridhika,
MUNGU aliweka matunda ya kila aina bustani ya edeni lakini bado mwanamke hakuridhika akafuata lile moja alilokatazwa na bado leo wanatutupia lawama sisi kwamba haturidhiki wamesahau ndio walitufundisha kutoridhika pale bustani ya edeni [emoji28]
Tuishi nao kwa akili wanangu TUWAPENDE ila TUSIWAAMINI[emoji1666]



Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…