[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Mwanamke aliyezaa ana raha yake bhana.... 1: Ana adabu. 2; Anajua maisha.hata mkilala njaa yeye poa tuu. 3: Ana njia nyingi za mafanikio. 4; ni mvumilivu.... Lkn hivi vibint ambavyo havijui moja wala mbili vinakwenda kujifunzia Kwa mwanaume ni shiidaaa sana.. Vinaropoka mpk siri za ndani.....
Sent using Jamii Forums mobile app
Dada dorice pole sanaHuwezi jua sio wote tuliozalishwa tumemegwa Mara kibao wengine tulianza namimba kwahuyohuyo utasemaje tuliangaika
Sent using Jamii Forums mobile app
DuuuuHa ha ha mkuu uzuri usikuzuzue aisee...hao majanga yao wanayajua mwenyewe! Hujiulizi chuma kama hicho mwanaume mwenzako kwanini alikipiga chini licha ya kumzalia mtoto?
Anyway nshadate na single mother(s), nawajua vizuri...wengi huwa wanajifanya wema sana nwanzoni na kujifanya hawana hatia ila haipiti muda wanafunua makucha!
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Kuna mmoja alikuwa ananilazia mtoto katikati siku ataki kutoa papuch nikaamua kupiga chini
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] mbavu zanguuuu!!!!...Kuna kengine hapa kwetu kalikuwa na nyungu ya kuvutia lkn mchezo ilikuwa ni kutoa viumbe mara kwa mara saiv hiyo nyungu imening'inia upande upande inashukia mapajani kamekauka kama nyama ya kubanikwa....kamechoka vibaya mno!!bora viwe vinazaa tu...na vinawaonea wivu sana single mom maana ndiyo habari kwa sisi wanaume tunaotafuta wanawake....siyo hao watoto wa kike mama za Marehemu
Sent using Jamii Forums mobile app
Duuunimekumaind sana we mtoa mada. kwa hiyo unahamasisha sisi masingle mother tusiolewe?? Umeshindwa kwa Jina la Yesu, tunaolewa vizuri na ndoa zetu zimejaa upendo kuliko hao wazibua vizibo
Sent using Jamii Forums mobile app
Single mother na mwanamke alietoa mimba kedekede yupi bora.!?Yaani mtu apanue niguuu afu ukamue na mtoto wake
Singo mama sioi hata uniongeze hela. Kila nikiwafikiria mzuka unakata, napata kichefuchefu.Single mother na mwanamke alietoa mimba kedekede yupi bora.!?