Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
hayo yafanyike kwa mipango na taratibu sio kukurupukaCondom hatuvai, tutawatia mimba mpaka akili zao zikae sawa sawa. Haijalishi single mother wataongezeka mara dufu. Kijana kojoa ndani nasiyo vinginevyo
Kazi kuu ya mwanaume nikumpa mwanamke kazi ya kuzaa tofauti na hapo wewe sio mwezetu.
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Mfumo wa maisha udanganyifu ni mwingi sana toka kwa wanaumena wataongezeka sijui kwanini mjini ndio wanazidi kuongezeka kila siku
umesema vyema kabisa mkuu, mwanamke akishakuwa na mazoea na wanaume wengi huyo ni chawote tena kwa anaetanguliza shida ndio hana namna ya kuliepuka hiliView attachment 2689550
Binafsi huwa sipendi kabisa kabisa mno mwanamke mwenye mazoea na wanaume hata akiwa ni girlfriend tu achana na mke. Eti mwanamke ana rundo la male besties; na wote anabebishana nao; na hata kuwatembelea/kutembelewa na kuonana nao physically pamoja na kupewa pesa.
Hizi ni red flags ambazo ukizipuuzia zitakuja kukugharimu sana huko mbele ya safari maana kusema kweli hakuna urafiki wa bure bure tu kati ya mwanamke na mwanaume ambao siyo ndugu wa karibu. Mwanaume anakupa pesa kisa eti ni male bestie na asitegemee cho chote kutoka kwako?
Matokeo yake unakuja kugundua kuwa hawa ma male besties wake kumbe baadhi yao, kama siyo wote, huwa wanamla.
Huwa inauma sana hasa kama binti unamkubali na una mipango naye ya muda mrefu. Siwalaumu wanaoishia kukimbia japo binafsi sitakaa nikimbie jukumu takatifu la kulea kiumbe kimalaika nilichoshiriki kukileta hapa duniani tena bila ridhaa ya chenyewe. Hata mamake awe pasua kichwa namna gani tutapambana hivyo hivyo tu!
View attachment 2689570
wanapenda wenyewe kudanganywa piaMfumo wa maisha udanganyifu ni mwingi sana toka kwa wanaume
Kwann muwadanganye ili muharibu future zaowanapenda wenyewe kudanganywa pia
hawapendi uhalisia na wengine mimba wanabeba makusudi kabisaKwann muwadanganye ili muharibu future zao
100 mbona kidogo sana mkuuHii week nlkua maeneo ya Mwananyamala A kwa hesabu za haraka ile mitaa ina single mom zaid ya 100
aise too bad hivi wanapata wapi huo ujasiri wa kumtukana mwanaume? Tena mbaya zaidi mwanaume anaetekeleza wajibu wake2. Unamtukana na kumfokea baba mtoto wako, huku ni kukosa heshima. Hili ndio lililonifanya nilete ili bandiko, hivi mwanamke mwenye heshima na unaitaka ndoa unaanzaje kumtukana mwanaume? Unamwambia mwanaume acha Useng3 we ms3nge tuma hela mtoto anaumwa na ni mzima kabisa kisa tu umelala huna bundle alafu unategemea huyo baby dady ndio aje akufanye mke? Kuna wanaume wanataabika sana kisa hawa watoto.
Hio no mbili ndio ilisababisha nikaachana na mzazi mwenzangu na bado anaendelea na hio tabia so solution nimeamua kukaa kimya na kukata huduma nilizokua natoa ili awe na haki kabisa ya kunitukana
scola, your my crush, know that.Mi nawahurumia kwa nini mnazaa hovyohovyo vijana wa siku hizi?hamna focus ani
Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
Hakika.kuzaa linapaswa liwe jambo la kujipanga sio la kukurupuka
Kifungu cha 26( 2 ) cha Sheria ya mtoto, namba 21 ya 2009 kinasema kuwa ni vizuri mtoto aliye chini ya umri wa miaka saba akae na mama. Hata hivyo ni vema kufahamu kuwa kifungu hiki hakikusema ni lazima( shall) mtoto wa umri huo akae na mama.Hiyo siyo sheria bali ni busara.
Sheria inasema mtoto awe na miaka 7+ ndiyo alelewe na baba
Bidada unakuwaga una hekima mno ninaposoma comment zako, mtu atayekuoa au kama umeolewa kapata mtu sahihi sana huna ufeminism na ushindani wakijinga na wanaumeLeo nilikuwa instagramu kwa wanaotumia huu mtandao, kwenye page ya wasafi FM wameongelea mada ya wanawake wanaozaa na waume za watu, nikataka kujua maoni ya watu juu ya hili ikabidi nisome comments….. mh!
Kama tunadhani kuna wanawake wanafanya efforts zozote kuepukana na hili wimbi la usingle mother then tunatakiwa tufikirie tena.
Kwa ujumla ni kuwa hawajali, na hawana mpango wa kujali, labda tuko kwenye dunia ya hivyo, tunawafikiria wasiojifikiria, wasiofikiria future ya watoto wao, wasiofikiria mustakabali mzima wa malezi ya watoto wao…….etc
Mtu anasema kabisa kuwa nikimpenda mwanaume nazaa tu, tukutane kwenye urithi 😂 unamfikiria huyu anaelewa kweli anachokiongea?
Mweee,acha basiscola, your my crush, know that.
Sure, i don't know if what i feel is correct or not