Nimekuombea hapa hapa kitandani kwangu [emoji23][emoji23] leo tunaenda misa ya watoto mana kuamka asbh hatuwezi.nafurahi kuwa sababu ya kicheko chako[emoji3059]
Nasali fanya namna nitakuwa nakupostia kule siwezi weka majukwaani.
[emoji8] ahsante rafiki wa faida nna imani leo umeniombea.
Rafiki, lkn kuna wanaume nao wazinguaji mwanamke anaweza akachoka akaamua kuondoka. Sio mara zote wanawake tuko na makosa.Kifupi hakuna mwanamke bora akaachwa,otherwise kuna kivumbi hapo
kitandani kwako au kwenu?Nimekuombea hapa hapa kitandani kwangu [emoji23][emoji23] leo tunaenda misa ya watoto mana kuamka asbh hatuwezi.
Kitandani kwangu jaman usinunekitandani kwako au kwenu?
π mnaenda na nani ?
π nanunaje kwa raha hiziKitandani kwangu jaman usinune
Kanisani tunaenda kusali mimi na wewe misa ya jion[emoji23][emoji23][emoji23]
huu mchezo ni wa hatari sanaSingle mother mara nyingi matatizo yapo kwa mwanamke, ukimchukua uwe tayari kwa matatizo. Ya Nini matatizo na wakati wanawake wapo wengi?
Mkuu kuna wengine wameamua kuondoka na kuendelea na maisha yao.mfano kuna wanaume wanyanyasaji, walevi, malaya, sasa hapo mwanamke ataweza vumilia kweli? Anaamua kusepa kweli kweli kuanza maisha yake mapya.Kifupi hakuna mwanamke bora akaachwa,otherwise kuna kivumbi hapo
Sponsored by singo mazaTooba! Kupatwa kwa Mtani Mo.
Na vile uzi wako umeuandika yaani na hata wale watetezi wa single mother leo wanatembea humu humu kwenye makasiriko yako. Teh teh. [emoji28]
Kiufupi sio wote wapo hivyo Mtani. Siku ingine usikurupuke.
Hupaswi kupuuza ila usibebe kila kituMambo mengi yanayoandikwa hapa JamiiForums yanaukweli. Hasa Mapenzi, utafutaji wa maisha, Kustaafu, ujenzi nk. Ukipuuza siku ufikiwa ndio utaamini. Mimi sipuuzi kitu humu kwasababu Wana hawahawa ndio tupo nao mtaani.