Kulea mtt sio shida mkuu ila shida ni kuwa hamkawii kupasha kiporo moto nyinyi viumbe.
 
Jua kuwa kama baba wa mtoto wa huyo mwanamke unayeoa bado yupo hai basi mkuu kugongewa ni kitu cha kawaida kabisa so andaaa moyo mgumu mapemaaaaaaaaaa
 
Yaani ww jamaa unaakili kama zangu kwanza mm nikitongoza cha kwanza kujua kama anamtoto napiga dundo unaanzaje kuowa demu aliyezalishwa kwani wameisha wanawake
 
Ni kweli kabisa hata mpira unaanza timu zikiwa hazijafungana 0-0.hakuna mpira unaanza timu moja ikiwa tayari na magoli 2
 
Hahahaaa. Vibaya hivyo kwani wana shida gani au umesikia wanakuwaga na shida gani?

Au na wewe unafuata ya mleta uzi.
WANA SHIDA YA KUKUMBUSHIA Pindi wakienda kuchukua pesa za matumizi kwa baba wa watoto.
 
Ta
Tatizo ni lazima utagongewa na baba was huyo mtoto!!!
 
Umeona sasa Mkuu. Tukiwaza kwa undani sana ni kuomba Mungu tu akuonyeshe mwanamke aliye bora iwe ni Single mother ama la.

Sababu mwisho wa siku ukiingia pabaya unaweza juta Mkuu.
Mkuu mungu hawezi kukupa single maza ukiomba mke mwema .kwa kuwa huyo tayari ni mke wa yule aliyempa mimba ww utakuwa kama umeoa mke wa mtu tu so MUNGU HAKUPI MWANAMKE ALIYEZALISHWA .
 
Umeongea kwa hisia lakini ukweli utabaki pale pale....
 
Mkuu mungu hawezi kukupa single maza ukiomba mke mwema .kwa kuwa huyo tayari ni mke wa yule aliyempa mimba ww utakuwa kama umeoa mke wa mtu tu so MUNGU HAKUPI MWANAMKE ALIYEZALISHWA .
Hapa nakuunga mkono, Mungu anampa mtu "Mke wa ujana wake"

Tena kusudi la Mungu ni kumpa Mwanaume muoaji Mke Bikira

Umwombe Mungu mke mwema kisha akuletee mwenye watoto...HAIWEZEKANI ASILANI.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…