Hizi story dada yangu.
Nakupa mfano mmoja.
Williams, baba yao kina Serena.
Alioa akakuta na watoto wa kufikia.
Kawalea wote Kama wake.
Ilipotokea shida tu wote wakamsusa.
Ujinga huu.
Nimetoa mfano huu kwani iko documented.
Huku kwetu ndio kila siku shida.
Kuna watoto wa kambo wamebakwa/kulawitiawa na baba wa kambo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa naona shid asio wazazi wako, shida ni wewe.
Wanawake sisi jamani, huwa tunawalaumu tu wanaume humu kusimanga single moms ila wazazi pia ni changamoto haswa wa kike. Nililishuhudia hili wakati kaka yangu fulani alipotaka kuoa mwanamke mwenye mtoto, mama yake ndio alikuwa wa kwanza kunyanyua mdomo.
Bahati nzuri nae alikuwa na binti mwenye mtoto tayari. Nilimuuliza tu "je unapenda binti yako siku moja aolewe na awe na familia yake?" Alijibu "ndio" bila kufikiria kwanza. Nikamuuliza tena "utajisikiaje akinyanyapaliwa na wakwe kwasababu ana mtoto tayari?"
Hapo ilibidi awe mpole na aibu juu. Ndoa ilifungwa na maisha yanasonga vizuri tu.
Hivi maisha ya kaka na dada au mtu na jirani ni sawa na mtu na mkewe?Si uchunguze background ya huyo single mother kupitia watu wanaomfahamu kiundani, ili kuepusha sintofahamu badae
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukitaka kuamini pima DNA tuha ha ha,, noma sana asee, kuna wakt alivonambiaga jamaa ake alivuta skumuamin nkahis labd ana hasira nae tuu, ila pia sijawah pata uthibitisho wowote asee
Sent from my GT-I9505 using JamiiForums mobile app
Unaweza kuchukua mfupa wa huyo baba yake na mtoto ukawapima ili ujihakikishie. Iwapo utashindwa kuupata mfupa, ni kuwa achana na kuoa mtu na mtoto wake
Siku mkikorofishana na huyo mtoto akikua kukutandika au kukutukana haina effect kwake. Haoni shida wewe sio Baba yake. Huwa ni mbaya Sana mtoto akijua huyu sio dingi yake. Kula mzigo usuuze roho yako basiWazazi wako Wana akili Sana. Wapo sahihi kabisa pamoja na ndugu zako. Wote hao wamakutakie mema . Ingekuwa mmoja tungeqestion . Ndugu wote wasikilize. Single mother ni wasumbufu Sana. Huyo ni mke wa mtu yaani mwenye huyo mtoto bado ana access kubwa ya kuwasiliana na single mother. Ni rahisi kupewa mzigo akihitaji . Mtoto ni connection kubwa kati ya mama na Baba. Kwani unapenda kuitwa Baba wa kambo . Mtoto hawezi kukupa full respect kwasababu anajua wewe sio Baba yake. Jinsi ya kumlea ni ngumu mno. Inajibidi kujifunga mkanda unapojitolea kumlea mtoto huyo. Mtoto akililia wembe mpe akijikata ni shauri yake
Sent using Jamii Forums mobile app
Je ikiwa umekula chakula fulani then kikakudhuru, utaamua kuacha kula kabisa ili ufe maana kuna chakula fulani kilikudhuru?Hizi story dada yangu.
Nakupa mfano mmoja.
Williams, baba yao kina Serena.
Alioa akakuta na watoto wa kufikia.
Kawalea wote Kama wake.
Ilipotokea shida tu wote wakamsusa.
Ujinga huu.
Nimetoa mfano huu kwani iko documented.
Huku kwetu ndio kila siku shida.
Kuna watoto wa kambo wamebakwa/kulawitiawa na baba wa kambo.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji1] [emoji1] [emoji1] mkuu umetisha,skuwezii ,nkafukue na mifupa tena,, hahahUnaweza kuchukua mfupa wa huyo baba yake na mtoto ukawapima ili ujihakikishie. Iwapo utashindwa kuupata mfupa, ni kuwa achana na kuoa mtu na mtoto wake
Wewe ndio unamfahamu huyo mwanamke kwahiyo ni wewe unapaswa kufanya maamuzi juu ya maisha yako.Mi nasoma maoni ya wadau tuu mana mi pia nna mpango wa kuoa mdada mwenye mtoto lkn yy jamaa ake alishatangulia mbele ya haki
sawa dada,,ila hapo mwisho umenishambulia kwel kwel wkt mi sinaga tatzo na single momz asee[emoji4] [emoji4] [emoji4]Wewe ndio unamfahamu huyo mwanamke kwahiyo ni wewe unapaswa kufanya maamuzi juu ya maisha yako.
Miluzi mingi humpoteza mbwa.
Kuwa single parent haimaanishi huyo mtu hafai, hayo ni makosa liyoyafanya lkn akachagua lililojema la kuzaa na kulea mtoto.
Alokwambia mwanamke ambae hajazaa ndio mwanamke mwema wa kuoa nani? Basi ndoa zao zingekuwa mbingu ndogo. Kwanini umhukumu mtu kana kwamba yo a saint!!!!
Nisamehe bure kama nimeiweka kwenye tone mbaya ila lengo langu halikuwa baya mkuu.sawa dada,,ila hapo mwisho umenishambulia kwel kwel wkt mi sinaga tatzo na single momz asee[emoji4] [emoji4] [emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app
Emmanuel Mbasha nae atakuwa na matatizo kisaikolojia au mengine zaidi. Ivi mwanamke ni flora mbasha pekee yake. Ndio maana aliachwa . Wanawake wapo wengi kabisa anashindwaje kutafuta mwanamke mwingine. Anabaki kumwongelea Flora mbasha. Hamnazo huyo jamaaEmmanuel Mbasha amelieleza hilo kuwa hata yule aliyemnyanganya mke na yeye kanyanganywa kwa hiyo wote wanasota kibachella
okee wala usijali kbs mamii, ts all goodNisamehe bure kama nimeiweka kwenye tone mbaya ila lengo langu halikuwa baya mkuu.
Mimi si mzee mkuuu kama wewe oa wazee wenzakooooo mwenyewe mkuu
Imagine umedate na mtu mkavunja amri kama ilivyo tabia ya vijana wengi. Siku unajua anaishi na mwanamke/kaoa ukaamua kusitisha mahusiano kabisa ukaendelea na maisha yako. Hii nayo imekaaje? Huhitaji kupendwa/kupenda tena?Nasoma comment za Single Mother humu nabaki nacheka tu....Yaani mtu amepigwa mimba hakuolewa na aliyempa Mimba leo hii unataka ujiingiza kichwa kichwa, au unakutana na Mwanamke alishindwa kujenga ndoa yake au mahusiano yake akamua kufunga virago leo hii unadhani utamuweza kweli? Ninachojua Aliyewahi kula Nyama ya Binadamu hawezi acha kamwe..
Case Study, Flora Mbasha ile ndoa ya pili ya Mbwembwe nayo ipo chali ..Single Mothers are very complicated to any new relationship