Malimi Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 1,287
- 2,743
Moja ya falsafa zangu ni kuwa; "ukizaa na mwanamke hata usipomuoa ujue huyo ni mpenzi wako wa kudumu."
Ukioa mwanamke ukakuta ana watoto watau jua ana wapenzi wake wa kudumu watatu wa kudumu, hivyo basi ni uchaguzi wako kupanga foleni kwa wanaume watatu na wewe ukiwa wa nne au utafute asiye single mother angalau uwe na uhakika hata akikusaliti ila anayetoka si mpenzi wake wa kudumu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukioa mwanamke ukakuta ana watoto watau jua ana wapenzi wake wa kudumu watatu wa kudumu, hivyo basi ni uchaguzi wako kupanga foleni kwa wanaume watatu na wewe ukiwa wa nne au utafute asiye single mother angalau uwe na uhakika hata akikusaliti ila anayetoka si mpenzi wake wa kudumu.
Sent using Jamii Forums mobile app