Kuoa Single Mama ni sawa na kunywa soda iliyofunguliwa na kuonjwa
Hata ambaye hajazaa anaweza ila aliyezaa ana mazingira rafiki ya kubanjuliwa na mzazi mwenzie. Mara nyingi nimeona wanawake wanapenda sana wanaume waliozaa nao hata kama walishaachana. Wao huona huyo ndo alikuwa wake na wakati mwingine huolewa kwa kulipiza kisasi ila siyo kwamba akili huwa imekubali.Huolewa kuondoa stress. Kwahiyo ikitokea mme mwenza amemtaka ni mrahisi kukubali.
Mmh. Sidhani ila wacha nijaribu kujilazimisha kuamini ulichoandika Mkuu.
 
We ni mwanamke huwezi kuelewa hapa,nitafute private nitakuelewesha,sisi wanaume ndo waoaji na ndiyo tunaoelewa ugumu wa kuoa single mother
Hahahaaa. Swala hili tu mpaka nikutafute chemba Mkuu.

Mmh. Basi wacha tu nibaki na kutokuelewa kwangu.
 
Yaani ata mie mwanamke aliezaa sitegemei kabisa kuishi nae kama mme mke!!, Yaani mara paaah!!, Bwana fulani unakubali kumuoa Bi fulani ( msimbe)!!! Haipo kabisa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
sometimes wanaume tunakuwa kama nini sijui, sasa hao wanawake wamezalishwa na wanawake wenzao? Cha msingi cha kuangalia kama binti anakufaa hayo mambo ya watoto ni sioni kama yana tija.
 
Mmh. Sidhani ila wacha nijaribu kujilazimisha kuamini ulichoandika Mkuu.
Kisaikolojia wanawake huumia sana kizalishwa na baadae kuona mwanaume ameoa mtu mwingine. Wengi hujiuliza kwani wao wamekosa nini. Hili wengi hupelekea hata kutembea na mzazi mwenzie kama kumkomoa aliyeolewa. Mara ngapi umesikia wanawake wenza wanagombana na kumwambia mwenzake naweza kurudi nikitaka ili mradi naye awe justification anaweza kupendwa. Utakataa lakini hakuna linalowauma wanawake kama hilo.
 
Mmh. Mie hata sielewi kwa nini mlio wengi hofu ni kwa aliyemzalisha kwamba wataendelea.

Kwani kwa mwanamke uliyemkuta ameshatumika hawezi kuingia ndoani halafu akawa na mahusiano na jimbo lake la nyuma?
Hapo tofauti,kwa mwanamke ambaye hajazaa ni 50/50 ila kwa mwanamke aliyezaa ni 100 kwa sababu ya mtoto,kwa mfano mtoto anaitwa john,tayari kuna watu wawili baba john na mama john hiyo ni bond tayar
 
Kwangu mimi kuoa mwanamke au binti aliyezalishwa nyumbani ni ugonjwa.

Haiwezekani mwanaume huna tatizo lolote unaoa binti/mwanamke wa hivyo.

Wengine mtasema mimba bahati mbaya! Serious kabisa kivipi mtu anatongozwa anakubali hadi anavua chupi bado anakubali jamaa anapiga kavu et! Bahati mbaya acheni utani.

Kama ni kubakwa leteni hizo statistics zinazoenyesha kuwa waliobakwa lazima wapate mimba. Binti ameendekeza chips na hela za wakware mimi nije kukuoa na mtoto wako eh!

Najua mtasema na wanaume wenye watoto, je hao wamechukua watoto nyie mbona waliowazalisha hawajachukua watoto?

Nyie wanawake/wasichana wenye watoto pambaneni na hali zenu.

NOTE: HAPA WAJANE HAWAHUSIKI.

Wengine wamezaa na waume za watu kabisa duh!

Poleni single mother.
Wazo zuri
 
Bora huyo ametoa kuliko
Kwenda kulea dam ya mwingine
Af Bado janamke lnaendelea
Kukuletea jeur kwakua ushamuoa


Mm hii stafanya bora nibak bla mke
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kisaikolojia wanawake huumia sana kizalishwa na baadae kuona mwanaume ameoa mtu mwingine. Wengi hujiuliza kwani wao wamekosa nini. Hili wengi hupelekea hata kutembea na mzazi mwenzie kama kumkomoa aliyeolewa. Mara ngapi umesikia wanawake wenza wanagombana na kumwambia mwenzake naweza kurudi nikitaka ili mradi naye awe justification anaweza kupendwa. Utakataa lakini hakuna linalowauma wanawake kama hilo.
Sawa Mkuu. Hivyo na wewe unasimamia kwamba single mothers sio wa kuoa?
 
Mnajua kujidanganya wengi huwa wameshaangusha mimba nyingi kizazi kimelegea tayari,alafu kwako utamwona kigoli kumbe ni mama wa marehemu
Bora aliyetoa mimba kwa sababu mwanaume anakuwa hajui,kuliko mwenye mtoto unapiga picha nimemuoa mwanamke ambaye alivuliwa chupi,akapewa mimba akaachwa,na kibaya zaidi bado ana mawasiliano na mzazi mwenzake,sihamasishi mademu watoe mimba bali wawe makini
 
Back
Top Bottom