Duke Tachez
JF-Expert Member
- Mar 28, 2018
- 5,461
- 4,138
Sio kidogo,kuoa mwanamke mwenye mtoto ni sawa na kuvaa mabomu yanalipuka muda wowoteIla jamani kulea bao la mtu mwingine inahitaji ushujaa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kidogo,kuoa mwanamke mwenye mtoto ni sawa na kuvaa mabomu yanalipuka muda wowoteIla jamani kulea bao la mtu mwingine inahitaji ushujaa.
Duh. Hii ndo JF bhanaUko sahihi kabisa mkuu,
Ni bora kuoa asiye na mtoto ila kazitoa za kutosha.
Sijavuta, ndo kwanza nasokota
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Hahahaaa. Swala hili tu mpaka nikutafute chemba Mkuu.
Mmh. Basi wacha tu nibaki na kutokuelewa kwangu.
Eti best unaafiki kweli? [emoji12] [emoji12] [emoji12][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Hahahaaa. Lol.
Wacha wivu we ukimpata aliye sahihi oa tu Mkuu.
Sawa mdogo wangu.Nipo naye somewhere tu wala usijali Dada yangu.
Nilitaka aje atie neno kidogo na yeye
Ila masingo madha watamu sanaa.Mmh. Sasa Mkuu hapo makombo mtoto au mwanamke?
Inabidi muwe mnawaelewesha ili wajue yote hayo.Ila masingo madha watamu sanaa.
Huyu mleta mada hajui kitu.
Vipi bebi mzima lakini wewe? Nicheki pm
Mimi mzima.Inabidi muwe mnawaelewesha ili wajue yote hayo.
Mie sijambo kabisa. Sijui wewe?
Usijali nikitulia nitakucheck. DuuhMimi mzima.
Mbona hunitafuti sasa
Poa ufanye hivyo bebiUsijali nikitulia nitakucheck. Duuh
Hahahaaa. Nimejikuta nacheka sana lol.Poa ufanye hivyo bebi
Usicheke sana utaumiza mbavu.Hahahaaa. Nimejikuta nacheka sana lol.
Haya bana.