Kuoa Single Mama ni sawa na kunywa soda iliyofunguliwa na kuonjwa
Kwahiyo kawa single maza kwa mara ya pili
Kuna mmoja nilikuwa nae, alikuwa ameachika akiwa na mtoto mmoja, kila nikitaka kumwacha ananing'ang'ania, anakuja analia kweli kweli eti ooh nimekuzoea, Mara aje na huyo mtoto wake, nikajihisi kabisa sitaweza kuwa na mke ambaye anamtoto wakati Mimi ni kijana mdogo 26yrs.
Nikamweka wazi lakini wapi ananiletea napiga. Daah akapata ujauzito, akaona ndiyo tiketi ya Mimi kumuoa, niliumia Sana, nafsi ilinisuta Sana mungu anisemehe kwa yote yaliyoendelea kwa kweli, lakini sikuwa tayari kumuoa. Na Mimi nikawa single father
 
Siyo wote walio oa single mothers wanapitia hizo changamoto bhana! Wapo wadau wengine wanafaidi kweli kweli mapenzi ya hao single mothers, huku wakiwa hawana mgogoro wowote ule kwenye ndoa/mahusiano yao.

Hivyo mimi nashauri vijana waoe wanawake wa maisha yao. Utakuwa ni ufala mkubwa sana kuacha kuoa single mother ambaye ni wife material, halafu badala yake ukaenda kumuoa Asha Ngedere ambaye muda wote kyupi iko mkononi! Kisa tu hana mtoto.
Hakuna wife material single mother,kitendo cha kuzaa kabla ya kuolewa tuu tayari ashapoteza sifa ya kua wife material
 
Chanzo cha Single Mother ni Wanaume.
Masingle maza miaka ya karibuni wanaongezeka kwa kasi kuliko miaka ile ambapo kuwa single maza
ni umefiwa na mme...
Chanzo cha single maza kwa kiasi kikubwa kwa karne hii ni wanawake dhaifu wa karne hii walioshindwa kuendana na utandawazi.
 
Kuoa single mother ni kuwaaibisha wazazi wako hapa duniani au huko ahela


Unaoaje single mother?? Mbona haiji kabisa hii
 
Mwanaume mwenzio kamshindwa huyo mwanamke we utamuwezaje,single mother ni bomu
Kuna wengine wakila pilau anatapika, ila mwengine ukimpa pilau anakula sahani hata 5 na kesho yake bado anataka kuendelea kula pilau
 
Tusiwalaumu single mothers. Hawakujitia mimba wenyewe.

Slogan yetu iwe 'USIZAE NA MWANAMKE USIYE NA FUTURE NAYE'.

Kama huna lengo la kuishi naye baadaye, usimtie mimba. Kwa sababu hakuna mwanaume atakayekuwa tayari kuoa mwanamke aliyezalishwa.

Tukishajizatiti katika hilo, hata single mothers hawatokuwepo. Kwa sababu tutawazalisha wale ambao tunajua tutadumu nao.

Kwako Studio.
Wewe haujakutana na wale wanaowaambiaga wanaume za watu au wavuta bangi kuwa "nipe mtoto me ntalea mwenyewe wanaume nyie me staki stress".

Hawa wapo wengi sana na kipindi wakishapewa ujauzito wanawarejea tena hawa wanaume na kulazimisha malezi ya watoto wakati alishasema atalea mwenyewe. Wanaume wa hivi huwa hawahangaiki na wanawake wa hovyo huwa wanawapotezea na kuwaacha solemba.

Ndio tunakuja kuwakuta mitandaoni wanaandika wanaume wote mbwa, wanaume hivi wanaume vile.

Sasa wewe unatoka huko unakuja kuwatetea kwa huo uovu wanaofanya kwa kivuli cha kusema wanatelekezwa?!

Wewe nahisi hawa mabinti wa kisasa wanaojifanya vichwa ngumu hauwajui vizuri.
 
Siyo wote walio oa single mothers wanapitia hizo changamoto bhana! Wapo wadau wengine wanafaidi kweli kweli mapenzi ya hao single mothers, huku wakiwa hawana mgogoro wowote ule kwenye ndoa/mahusiano yao.

Hivyo mimi nashauri vijana waoe wanawake wa maisha yao. Utakuwa ni ufala mkubwa sana kuacha kuoa single mother ambaye ni wife material, halafu badala yake ukaenda kumuoa Asha Ngedere ambaye muda wote kyupi iko mkononi! Kisa tu hana mtoto.
Ilikuwa zamani sio miaka hii. Ukiona chatu anakupapasa na kujizungusha katika mwili wako jua anapima size yako ajue atakumeza vipi na sio kwamba anakupenda na kujibebisha.

Sasa wewe neng'eneka yakukute......
 
Yote kwa yote ila single mother wengi hua na K tamu banaaaa, zamotoooo halafu zinautelezi wa kutosha.
Usiombe single mother ndie apande kwa juu halafu wewe uwe kwa chini, wana ile miuno ya paka chongo yaani anaikatikia huku utelezi unachuruzika mpk pumbu zote zinaloana[emoji39][emoji39][emoji39]

Povu ruksaaaaa
Shenzi kabisa ... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hizo ni sababu zako wewe,nitaoa single mother mke wa kwanza,nitaoa single mother kama mke wa pili hadi wafike wanne.
Single mother wengi wanajitambua kikubwa kama mwanaume timiza wajibu wako,kama ameachana na mwanaume wake jua kuna kitu kilikua hakipo sawa,na mpaka anakubali kuolewa na mwanaume mwingine basi kuna kitu ameona kipo sawa,
Nchi za wenzetu wanawake wanaolewa kwa mikataba,anaweza olewa na wanaume hadi kumi na kuachika.
Oa tu kwani sisi tumekushika mikono...... Mbona unatoa povu kama mleta uzi amekuattack personally??
 
Nilienda kwa single mama mmoja HV Yuko kinondoni uko dad Ni mzur kweli ila kaachwa na yey mwenyewe anachagua sna wanume kwa maongezi yake tu nikaona siyo bure kaachwa hkn mwaume anamuacha mwankebila sababu geniun reason
Ukiona fisi ameacha mzoga jua hauliki huo au una sumu.....
 
kwahiyo mnasema kwamba ma single mother, au basi tu

dj walete na songi la boni mwaitege ''mtoto wa mwenzio umuone kama mtoto wako''
 
Mimi naona unawakosea kwasababu hamna mwanamke ambae anapenda kuwa single mother, ni huenda kuna mwanaume alimuahidi ndoa afu akachomoka.
Pia wanaume wengi sikuhizi wanatabia ya kuwaambia dada zetu kuwa tuzae kwanza mambo yakikaa poa nitakuoa.

Mimi naona ni kuangalia tabia ya mtu, kama ana tabia mbovu achana nae.. ila unaweza enda oa bikra wako na akakusumbua ukaona afadhari ya yule single mother.

Faida za kumpa stara single mother anaejielewa
1. Atakuheshimu sana maana umemstiri
2. Baraka na riziki za yule mtoto zitapitia mikononi mwako.
3. Utapata baraka hata kutoka kwa Mungu kwa kumlea yule mtoto na kumfanya asijihisi kua hana baba.
4. Umesaidia kizazi kijacho kujifunza kutoka kwako kutokumuhukumu mtu kisa alizalishwa.
5. Itasaidia watoto wa kike kupunguza kutoa mimba

Tusihukumu wote, tuangalie chanzo cha yeye kuwa single mother kwanza, tabia zake, jinsi anavyokufanya ujisikie kama mwanaume, jinsi anavyokuheshimu, baraka zake maana kuna wanawake wengine wananyota yani ukiwa nae tu unatajirika, nk
Ungetumia hii nafasi kuwaelimisha watoto wa kike kujisitiri miili yao hadi ndoa na kutii hizo ndoa ikiwamo kusimamia majukumu yao ya kuwa mke wa mtu bila kulazimishwa au kujilazimisha then ungekuwa unafanya la maana sana.

Ila hii kujaribu kusympathize nao ndio njia rahisi ya kuwa encourage zaidi hata mabinti wadogo na wao wafanye yale yale na kurudia matatizo ya wenzao.
 
Sema kwenye swala la mimba mi nitawalaumu wanawake



Mwanamke unajua mzunguko wako we ndio una uwezo wa kuzuia mimba utakubalije kuzaa na mpumbavu

Unaona mtu hana uelekeo tabia mbovu halafu unabeba mimba sasa akikimbia hapo utamlaumu nani
Kuna binti alizaa na jamaa ambae ameshazaa na wanawake watatu na kushindwana nao. Kitu nilichojifunza ni kuwa mabinti wa sasa wanaviburi vya kufanya maamuzi ya kukosea kwa makusudi sababu wanajua jamii hii ya sasa ni jamii inayowatetea bila kuwahoji wala kuwawajibisha na lawama huwa wanapewa wanaume always.

Kuna mama m'moja hivi nadhani ni mkuu wa wilaya alihoji kwann binti mwanafunzi anapopewa ujauzito anaewekwa ndani ni mwanaume huyu binti anaachwa anaendelea mtaani kudunda na mtoto analelewa bila baba na hatimae machokoraa wanaongezeka?!

Sijawahi ona ni wapi wanawake wanawajibishwa cha zaidi naona sana ongezeko la taasisi, sera, mikakati na wanaharakati wanaokuwa mstari mbele kutetea upuuzi na mambo ambayo ukikaa chini ukatafakari unaona wazi watoto wa kike wanakingiwa kifua na hufanya kwa kuamua kabisa kwa akili zao ila matokeo yake yakiwa mabaya utasikia wanaume na jamii mnawasababishia hawa mabinti matatizo.

The day tukianza kuwahold responsible na kutaka hawa wanawake wawe accountable kwa matendo yao ambayo wanajustfy ni wanaume wamewasababishia then mtaona hizi changamoto zitakavyoanza kupotea.
 
Masingle maza miaka ya karibuni wanaongezeka kwa kasi kuliko miaka ile ambapo kuwa single maza
ni umefiwa na mme...
Chanzo cha single maza kwa kiasi kikubwa kwa karne hii ni wanawake dhaifu wa karne hii walioshindwa kuendana na utandawazi.
Siyo kweli chanzo cha Single Mother ni Wanaume wanaojua kupachika Mimba na kukimbia, wewe Mwanaume na akili zako timamu unajua kabisa huna mpango na Mwanamke uliye naye kwa wakati huo kwanini unampa Mimba?
 
Siyo kweli chanzo cha Single Mother ni Wanaume wanaojua kupachika Mimba na kukimbia, wewe Mwanaume na akili zako timamu unajua kabisa huna mpango na Mwanamke uliye naye kwa wakati huo kwanini unampa Mimba?
Duuh!!! hiyo ni case nyingine lakini kama mwanamke unawezeje kukubali kubeba mimba bila ya kuwa umeolewa?
Mimi naongelea kwa hizi ndoa zinazovunjika na kuwaacha masingle maza.
 
Ungetumia hii nafasi kuwaelimisha watoto wa kike kujisitiri miili yao hadi ndoa na kutii hizo ndoa ikiwamo kusimamia majukumu yao ya kuwa mke wa mtu bila kulazimishwa au kujilazimisha then ungekuwa unafanya la maana sana.

Ila hii kujaribu kusympathize nao ndio njia rahisi ya kuwa encourage zaidi hata mabinti wadogo na wao wafanye yale yale na kurudia matatizo ya wenzao.
Nimekuelewa na ndio maana nikasema hakuna mwanamke anaependa kuwa single mother, na ufatilie chanzo cha yeye kuwa single mother.
Elimu kwa wanawake ipo teari, ila wanaume wanahitaji kufundishwa pia especially kwa vitendo, ndio maana nikasema ukimstiri basi kama mtoto wake ni wakiume atakuheshimu maana unakuwa father figure kwake. Na yeye kutokana na experience ya mama yake aliyopitia atajitahidi kutokuzalisha mtoto wa mtu alafu akamuacha.

Yani pande mbili zote zina shida, ila kama umegundua wanawake wengi wakipenda wanakuwa wajinga na wataamini chochote utakachomwambia.

Mfano ukiwambia mtoto wa kike kua wewe unapenda mwanamke mwenye makalio makubwa basi out of desperation and love and fear of loosing you basi atahangaika ahakikishe anajiongeza ili tu akuridhishe, au ukimwambia unapenda mwanamke mweupe basi mdada atahaingaika kujichubua.
Kwaio ni kheri kufundisha wanaume kwanza kutomzalisha mdada kama huna nia ya kumuoa, matumizi ya condom yaongezeke, most of all kutokutoa ahadi ya kumuoa mtoto wa mtu na kumwambia akubebee mimba wakati huna nia nae, most important vijana wapunguze uzinzi maana ndio chanzo cha vyote.

Pia mwengine atasema mama yangu alizalishwa akaachwa kwaio na yeye anakua na ile mindset ya kuzalisha watoto wa watu nakuwaacha, ndio maana nasema ukimstiri yule mama basi umemnufaisha yeye na kizazi chake chote.

Mind hii ni kwa wale waliodanganywa lakini by nature ni innocent ladies sio wadangaji, wanaoingilia ndoa za watu, anaebeba kwa maksudi ili akupige kulea mtoto na type hizo.
 
Nimekuelewa na ndio maana nikasema hakuna mwanamke anaependa kuwa single mother, na ufatilie chanzo cha yeye kuwa single mother.
Elimu kwa wanawake ipo teari, ila wanaume wanahitaji kufundishwa pia especially kwa vitendo, ndio maana nikasema ukimstiri basi kama mtoto wake ni wakiume atakuheshimu maana unakuwa father figure kwake. Na yeye kutokana na experience ya mama yake aliyopitia atajitahidi kutokuzalisha mtoto wa mtu alafu akamuacha.

Yani pande mbili zote zina shida, ila kama umegundua wanawake wengi wakipenda wanakuwa wajinga na wataamini chochote utakachomwambia.

Mfano ukiwambia mtoto wa kike kua wewe unapenda mwanamke mwenye makalio makubwa basi out of desperation and love and fear of loosing you basi atahangaika ahakikishe anajiongeza ili tu akuridhishe, au ukimwambia unapenda mwanamke mweupe basi mdada atahaingaika kujichubua.
Kwaio ni kheri kufundisha wanaume kwanza kutomzalisha mdada kama huna nia ya kumuoa, matumizi ya condom yaongezeke, most of all kutokutoa ahadi ya kumuoa mtoto wa mtu na kumwambia akubebee mimba wakati huna nia nae, most important vijana wapunguze uzinzi maana ndio chanzo cha vyote.

Pia mwengine atasema mama yangu alizalishwa akaachwa kwaio na yeye anakua na ile mindset ya kuzalisha watoto wa watu nakuwaacha, ndio maana nasema ukimstiri yule mama basi umemnufaisha yeye na kizazi chake chote.

Mind hii ni kwa wale waliodanganywa lakini by nature ni innocent ladies sio wadangaji, wanaoingilia ndoa za watu, anaebeba kwa maksudi ili akupige kulea mtoto na type hizo.
Wewe unabebaje mimba ya mtu ambaye hajakuoa?
Unakuwa unawaza nini ?
 
Back
Top Bottom