Kuoa Single Mama ni sawa na kunywa soda iliyofunguliwa na kuonjwa
Single maza tunawalaumu bureee,,,hivi ikiwa wewe uliyemzalisha bado unamfuatafuata na kumtamani unadhani atakataa? Wengi hufanya hivyo ili Watoto/Mototo azidi kupata mapenzi ya Baba,,,Me naamini ikiwa wewe uliyemsababishia huo usingle maza ukawa mbali naye na ukaweka mipaka siyo (minyau)baina yake na wewe sidhani kama kuna kitu kinaweza Haribika,,,ila wengi wa waluowazalisha wanakuaga na tamaa,,,kumbukeni kuna wanaume baadhi ni mara umbwa yaani tunawaita zoazoa.......
Sio kweli wanaume hua hawawatafuti wanawake waliozaa nao mm nina mwanamke ambae alizalishwa na mtu lkn huyo aliemzalisha hua hamtafuti mwanamke ila mwanamke ndio anamtafuta jamaa tena anamwambia kwann huji nyumbani kutusalimia haya najua kupitia mawasilino yao na mm nataka akishashika mimba akizaa tu namuacha

Sent from my PRA-LA1 using JamiiForums mobile app
 
Yaani umeandika ukweli mtupu mm nina mahusiano na single maza kabla ya kuanzisha nae mahusiano nilimuuliza kuhusu yeye kuwasiliana na baba wa mtoto akanijibu kua hana mawasiliano nae kabisa na hahitaji kabisa kuwasiliana nae na hta ikitokea baba wa mtoto akakatisha mbele yake ataamuua nikacheka moyoni tu nikaona huyu bado anampenda na anaumia kuachwa na baba mtt wake sasa baadae nikaona nimfuatilie 'nijue ukweli ni upi nmeona kua yeye ndio hua anamtafuta baba wa mtoto kua kwnn huji kumuona mtoto au unataka mtoto akusahu kabisa baba mtoto anajibu nitakuja tu sku yoyote basi mwanamke anaanza kutukana ww mwanaume ni mbwa tu. Mm nafatilia mawasiliano yao tu nmekaa kimyaaaa akipata mimba yangu nalea akishajifungua tu na mm namuacha halafu namuonyesha mawasiliano yake na baba mtoto kua hii ndio sababu ya kukuacha sikuamini tena

Sent from my PRA-LA1 using JamiiForums mobile app

Usimfanyie hivyo Mkuu.
Ni Bora umuache mapema Ila sio kumuongezea zigo la misumari.
Au ndio aisyefunzwa na Mamaye ninyi walimwengu mnamfunza
 
Mi nilikuwa nae mmoja miaka flani nyuma alizinguana na jamaa yake baada ya jamaa kutelekeza swala la kumuoa baada ya kutoa barua ya uchumba. Si ndo akaangukia kwng akanielekeza kila ktu kuhusu jmaa, baada ya mahusiano kumnogea yy sio mm akadai nikajitambulishe kwao binafsi sikukaataa wala kukubali, niliendlea kujilia tu sababu ilikuwa haisumbui mpka nilipotosheka nikamuambia tu unaweza kuendlea na hamsini zako sasa, mana swala la kuona mm na ww halipo. Sijamaliza hta miezi 6 nakutana na vjembe tu ulifikir sitaolewa, kumbe mzazi mwenzie aliamua kuoa kabisa ajabu ya wanawake baada ya yote haya bdo alinitafuta ili tuendeleze tulipoishia lkn binafsi sikurudi tena nyuma. Kifupi single mother kw aliye msingolisha huwa beki hazikabi

Duuuh
 
Usimfanyie hivyo Mkuu.
Ni Bora umuache mapema Ila sio kumuongezea zigo la misumari.
Au ndio aisyefunzwa na Mamaye ninyi walimwengu mnamfunza
Tatzo nilimuamini na kumpenda nmemfungulia biashara sasa nikiwaza hela niliyowekeza kwake najiona mjinga ni bora akanizalia tu hiyo biashara niliyompa atalea mwanangu tu

Sent from my PRA-LA1 using JamiiForums mobile app
 
Tatzo nilimuamini na kumpenda nmemfungulia biashara sasa nikiwaza hela niliyowekeza kwake najiona mjinga ni bora akanizalia tu hiyo biashara niliyompa atalea mwanangu tu

Sent from my PRA-LA1 using JamiiForums mobile app
Wajinga kama wewe ndio mnafanya wanaume tuonekane watu wa ajabu.

Ukitaka mwanamke aliyekamilika umba wa kwako au owa bikira.

Halafu huwa mnapata wapi muda wa kuwafuatilia wanawake?

Si bora huyo unajuwa wazi kazaa na mtu kuliko kulea Watoto ambao unaamini ni wa kwako kumbe wana baba zao?

Achana na biashara ya kufuatilia mwanamke utakufa siku si zako.

Halafu hizo pesa umewekeza Billion ngapi? Usikute mtaji wa million 10 unasumbuwa watu akili hapa eti umewekeza pesa nyingi.
 
Kuna watu wakiachana wameachana,hakuna kurudi nyuma
One out of ten,wengi wao huwa wanalikoroga kuwarudia waliowazalisha,hukatazwi kuoa,ila owa at your own risk.Kinachozungumzwa hapa ni reality,hivyo ndivyo walivyo,na iko kiroho zaidi,kunakuwa na unganiko linalowafanya washindwe kuachana....
 
Wajinga kama wewe ndio anafanya wanaume tuonekane watu wa ajabu.

Ukitaka mwanamke aliyekamilika umbea wa kwako au Kwa bikira.

Halafu huwa mnapata wapi muda wa kuwafuatilia wanawake?

Si bora huyo unajuwa wazi kazaa na mtu kuliko kuleta Watoto ambao unaamini ni wa kwako kumbe wana baba zao?

Achana na biashara ya kufuatilia mwanamke utakuja siku si zako.

Halafu hizo pesa umewekeza Billion ngapi? Usikute mtaji wa million 10 unasumbuwa watu akili hapa eti umewekeza pesa nyingi.
Ni kweli mm ni mjinga ndio nmesema najiona ni mjinga mm hta nikiwekeza laki tu naona nyingi

Sent from my PRA-LA1 using JamiiForums mobile app
 
One out of ten,wengi wao huwa wanalikoroga kuwarudia waliowazalisha,hukatazwi kuoa,ila owa at your own risk.Kinachozungumzwa hapa ni reality,hivyo ndivyo walivyo,na iko kiroho zaidi,kunakuwa na unganiko linalowafanya washindwe kuachana....
Sasa kuna mwanamke kazaa na wanaume watatu so huyu ukijichanganya ukaoa ndio itakua atawarudia wale wanaume wote aliozaa nao

Sent from my PRA-LA1 using JamiiForums mobile app
 
Wanaodeal na single mothers ni wanaume.

Wanaodeal na single fathers ni wanawake.

Tafauti kubwa iliyopo kati ya wanawake na wanaume, wanawake ni watu wa kujilipua sana, alaf hawana uoga wa kuanza upya au kujiondoa sehemu wanayoona sio sahihi kwao, haijalishi itawacost kiasi gani.

Sijui kama umeielewa mantiki yangu 🤔🤔
❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️👏👏👏🙏🙏🙏
 
Unafikiri kati ya hawa wenye lugha yao na wewe unahisi nani yuko sahihi zaidi?????

Single mother definition and meaning


Collins Dictionary
https://www.collinsdictionary.com › dictionary › english



Single mother definition: a mother who has a dependent child or dependent children and who is widowed , divorced ,... | Meaning, pronunciation, translations ...

Nb 1: Jaribu kupunguza kiburi na mhemko, kwani huweka ukuta mgumu wakati wa kujifunza.

Nb 2: Nimejaribu kukupa picha pana kuhusu sababu za single mother na siyo kukariri sababu zako.

Nb 3: Single mother kwa nchi yetu inachukuliwa kama ni uhuni,umalaya,upotofu wa maadili,n.k wakati ukipata picha pana haya mawazo ni potofu!!!!!!!!!!!!!!
👏👏👏👏👏
 
Wajinga kama wewe ndio mnafanya wanaume tuonekane watu wa ajabu.

Ukitaka mwanamke aliyekamilika umba wa kwako au owa bikira.

Halafu huwa mnapata wapi muda wa kuwafuatilia wanawake?

Si bora huyo unajuwa wazi kazaa na mtu kuliko kuleta Watoto ambao unaamini ni wa kwako kumbe wana baba zao?

Achana na biashara ya kufuatilia mwanamke utakuja siku si zako.

Halafu hizo pesa umewekeza Billion ngapi? Usikute mtaji wa million 10 unasumbuwa watu akili hapa eti umewekeza pesa nyingi.
🙏🙏🙏🙏🙏🙏
 
Back
Top Bottom