Kuoa Single Mama ni sawa na kunywa soda iliyofunguliwa na kuonjwa

Mithali 6:32​

Mtu aziniye na mwanamke (mwanaume) hana akili kabisa; Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.
Sasa hiyo Mithali nafkiri ifanyiwe tathmini irekebishwe...sasa mtu azini na mwanaume au mwanamke asiwe na akili, aende akazini na Mbwa au komba?! 🤔🤔🤔
 
Kuwa single Maza sio mwisho wa maisha nakwambia wewe singo madha uliyesoma thread hii na ukaumia nasfi.

JF Kila mtu mjuaji Kila mtu anajua kutype.

Ukiwafatilia nyuma ya keyboard Wana dada zao singo Maza,shangazi zao mama zao wadogo hata watoto wao pia

Na huenda nao pia wametokea kwenye mizizi hiyo ya usingo Maza na wanekula/kusomeshwa na singo Maza

Jeuri tu zinawatoka humu jamvini but deep down kwenye mioyo yao they do appreciate uwepo wa single mother

KAMA UNA POVU RUKSA MAANA NTADEKIA
 
Kuwa single Maza sio mwisho wa maisha nakwambia wewe singo madha uliyesoma thread hii na ukaumia nasfi,
JF Kila mtu mjuaji Kila mtu anajua kutype
Ukiwafatilia nyuma ya keyboard Wana dada zao singo Maza,shangazi zao mama zao wadogo hata watoto wao pia

Na huenda nao pia wametokea kwenye mizizi hiyo ya usingo Maza na wanekula/kusomeshwa na singo Maza

Jeuri tu zinawatoka humu jamvini but deep down kwenye mioyo yao tejy do appreciate uwepo wa single mother


KAMA UNA POVU RUKSA MAANA NTADEKIA
Na wengine ni wazazi watarajiwa wa masingle mother wa badae sjui kwann tunaropoka wakati kesho zetu hatuzijui
 
Back
Top Bottom