Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe nawe🔨🔨🔨🔨🔨
Wanafanya mambo ya ajabu mfano mtu hata kwenu hajakuja kujitambulisha unamvulia chupi🙄.Wewe nawe
Hii mijitu ni mijinga kabisa mkuuWanafanya mambo ya ajabu mfano mtu hata kwenu hajakuja kujitambulisha unamvulia chupi🙄.
Mtu kwenu hajulikani kabisa eti unajifanya unaenda kuishi kwake kama sio ujinga ni nn?
Siku nyingine uwaseme single faza nao wamezidi sana....sio kila siku single maza tu
Bora tuwe wote bila bila maana hawaachanagi ujue...utasikia naenda kumuona mtoto kumbe anaenda kula mbususuWenyewe hatutaki single faza shogare!! Raha ya mechi wote muanze 0-0 sio timu nyingine ishatungulia na magoli [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa hiyo Mithali nafkiri ifanyiwe tathmini irekebishwe...sasa mtu azini na mwanaume au mwanamke asiwe na akili, aende akazini na Mbwa au komba?! 🤔🤔🤔Mithali 6:32
Mtu aziniye na mwanamke (mwanaume) hana akili kabisa; Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.
UZINZI HAUTAKIWI, periodSasa hiyo Mithali nafkiri ifanyiwe tathmini irekebishwe...sasa mtu azini na mwanaume au mwanamke asiwe na akili, aende akazini na Mbwa au komba?! 🤔🤔🤔
Wanawake ni hovyo wengi unakuta mzazi anamlea mpaka miaka 20 tuseme ,halafu anakuja mtu hamjui anaanza kumdaganya mara atamuoa basi anaacha kusikiliza wazazi wake anamfuata huyo jamaa na kumtii.Hii mijitu ni mijinga kabisa mkuu
Waacheni vijana waendelee kukaba nyoka A.K.A PunyetoUZINZI HAUTAKIWI, period
Hakuna Singo Faza bila Singo Maza Mjinga,that's why tunawasema nyie!.Siku nyingine uwaseme single faza nao wamezidi sana....sio kila siku single maza tu
Ombea sana watoto wako wa kike hyo nuksi,laana na mkosi unayosema isiwakuteMsimamo ni ule ule KATAA SINGLE MAZA.
Single Maza ni Nuksi, Mkosi, Gundu na Laana.
Siku mwanamke akijitambua hili litakoma automaticallyIfike mahali iwe aibu Kwa mwanaume..kuona mwanamke uliemzalisha anahangaika......
Tusisahau mwanamke uliemzalisha ni mama WA mtoto wako...
Anae dhalilika ni mama WA mwanao...
Na wengine ni wazazi watarajiwa wa masingle mother wa badae sjui kwann tunaropoka wakati kesho zetu hatuzijuiKuwa single Maza sio mwisho wa maisha nakwambia wewe singo madha uliyesoma thread hii na ukaumia nasfi,
JF Kila mtu mjuaji Kila mtu anajua kutype
Ukiwafatilia nyuma ya keyboard Wana dada zao singo Maza,shangazi zao mama zao wadogo hata watoto wao pia
Na huenda nao pia wametokea kwenye mizizi hiyo ya usingo Maza na wanekula/kusomeshwa na singo Maza
Jeuri tu zinawatoka humu jamvini but deep down kwenye mioyo yao tejy do appreciate uwepo wa single mother
KAMA UNA POVU RUKSA MAANA NTADEKIA
Nilikuwa Na mmoja nilimpa kila kitu alafu bado akataka anipande kichwani wakat pesa za kwangu nikapiga chini sina mudaMsimamo ni ule ule KATAA SINGLE MAZA.
Single Maza ni Nuksi, Mkosi, Gundu na Laana.
Mkuu ita waitress hapo bia nalipia mimi🤣🤣🤣MWANAMKE KUITWA SINGO MAZA SI KWASABABU YA UJANJA WA WANAUME BALI NI UJINGA WA MWANAMKE MWENYEWE!.
NIPO HAPA MBEZI INN,NJOONI MNIUE WAPUUZI NYIE!