mgangawaukoo
JF-Expert Member
- May 8, 2016
- 2,183
- 2,390
Vizuri mganga wa ukoo tumloge nini huyu mtoto?Hili swala lina dhana pana sana na linahitaji Mwanaume anayejitambua kama mimi na kujua dhamani ya mwanamke,
single mother ni wanawake kama walivyo wanawake wengine,
Tatizo la mmoja usiwausishe wote kwani hata katika ukoo wako ukichunguza huwezi kosa single mother,
Kwa hiyo unapo nyoosha kidole angalia vingine vinapoelekea.
Jaribu "kupambana na hali yako " kijana.
Haya mengine yaache ukikuwa utaelewa.
Kumbe una mtoto?
HahahahahaaaKumbe una mtoto?
na mume kakimbia?
how did it happen?
Nimeshuhudia Mimi Mdingi aliwahi kuoa single mother imefika uzeeni wale watoto wasio wake ndio msaada mkubwa kwake kuliko wanae aliowazaa. Hata kabla hajafariki alitamka kua hao ndio wanae.Unatoka nyumbani kwako unaenda dukani kwa Mangi unaachagua soda iliyofunguliwa na kunywewa kisha ikasazwa? Hivi huoni kinyaa? Soda zilizo na vizibo mbona zimejaa dukani kwa Mangi? Una tatizo gani hadi unaamua kula makombo?
Single mama hana moyo wa kupenda tena. Hapo amekufanya wewe mwanaume kuwa mti wa kivuli cha shida zake za hisia, kiuchumi, kijamii, n.k. Wahenga wanasema "moyo wa mapenzi ni kama glasi, ukipasuka ufa wake hauzibiki". Maana yake kupenda hakujirudii mara mbili, hasa hasa mwanamke akisha zalishwa...ni kana kwamba moyo wa kupenda unatoka pamoja na mtoto kule leba.
Wewe mwanaume uliyekamilika na unajiamini unaanzaje kumuoa single mama?? Ona kinyaa ndugu yangu. Single mama alishapenda tayari na ndiyo maana akaamua kumpa yule mzazi mwenzie mpk akapata ujauzito. Si ajabu alimkuta bikra jamaa akaitoa, kisha akarudia na kurudia na kaurudia hadi mimba. Leo wewe mkolomije unaenda kuoa. Acha uzembe kwenye mapenzi.
Tafiti zinaonyesha kwamba mwanaume wanao oa masingle mama-- wako katika mojawapo ya makundi yafuatayo;-
--hawajiamini
--wanafuata maslahi
--ni washamba washamba Fulani HV
--waliruka stage ktk makuzi yao
WITO; raha ya soda ukute haijaonjwa
ni yule yule mwenye HIV?
Hapana sio Yule mwingineni yule yule mwenye HIV?
uliwezaje kuzaa nae?
Pata kiroba hapo kwa mangi nitalipa ndugu yanguMfano wa Soda na Single mother wala haviendani na havina uhusiano wowote kwa kuwa soda ni kimiminika hakina hisia lakini huyo Single mother ni binadamu na ana hisia. NINGEKUWA MIMI NINGETENGUA KAULI NA KUOMBA RADHI.
Hujui amepitia wapi na mangapi huyo mama, wengine walitelekezwa, wengine wamefiwa na wapendwa wao ingawa kuna wengine walijitakia wenyewe n.k. Lakini hii haiondoi ukweli kuwa wanahitaji faraja na maisha lazima yaendelee mbele.
Wajibika Mama aishi.
Hata mambo ya ajabu yanapaswa kufanyiwa utafiti. Kama umekugusa vumiliaHuenda hata mama yako alikuwa in single mother babaako angeona hivyo,hata Ww usingezaliwa ,lkn kwa mwanaume umejitahidi japo sijajua kazi yako ,mwanaume WA awamu yatano unapata wapi muda WA kutafiti mambo ya ajabu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa kivipi mkuu hebu dadavua vizuriNdio maana nikasema asiyezaa aliyezaa wote sawa tuu achana na past ya mtu wewe angalia ulivyomkuta pambana na hali
You are very right sema wanaume hawasemagi sana ila wanavumilia mengi na most ov em wanajuta ni vile hawana namnaDaaa umetoa hoja kwa chuki lakini kuna point ndani yake,kiukweli kuoa single mother ni mtihani kwa kweli labda huyo aliyemzalisha awe amefariki
Sent using Jamii Forums mobile app
Vimepigwa marufuku!! au wewe haupo Tanzania!!?
Kuna hali huwa inatokea wakajikuta hivyo, muombe Mungu wako akupe hekima, una dada, mama wadogo na hata watoto wako wa kuwazaa, ipo siku watajikuta kwenye mazingira kama hayoUnatoka nyumbani kwako unaenda dukani kwa Mangi unaachagua soda iliyofunguliwa na kunywewa kisha ikasazwa? Hivi huoni kinyaa? Soda zilizo na vizibo mbona zimejaa dukani kwa Mangi? Una tatizo gani hadi unaamua kula makombo?
Single mama hana moyo wa kupenda tena. Hapo amekufanya wewe mwanaume kuwa mti wa kivuli cha shida zake za hisia, kiuchumi, kijamii, n.k. Wahenga wanasema "moyo wa mapenzi ni kama glasi, ukipasuka ufa wake hauzibiki". Maana yake kupenda hakujirudii mara mbili, hasa hasa mwanamke akisha zalishwa...ni kana kwamba moyo wa kupenda unatoka pamoja na mtoto kule leba.
Wewe mwanaume uliyekamilika na unajiamini unaanzaje kumuoa single mama?? Ona kinyaa ndugu yangu. Single mama alishapenda tayari na ndiyo maana akaamua kumpa yule mzazi mwenzie mpk akapata ujauzito. Si ajabu alimkuta bikra jamaa akaitoa, kisha akarudia na kurudia na kaurudia hadi mimba. Leo wewe mkolomije unaenda kuoa. Acha uzembe kwenye mapenzi.
Tafiti zinaonyesha kwamba mwanaume wanao oa masingle mama-- wako katika mojawapo ya makundi yafuatayo;-
--hawajiamini
--wanafuata maslahi
--ni washamba washamba Fulani HV
--waliruka stage ktk makuzi yao
WITO; raha ya soda ukute haijaonjwa
Same to me that's why tunadiscuss otherwise duniani kusingekuwaga na mada coz maono yanafanana