barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
Single mother akaolewe na huyo aliyemzalisha! Kama ni mke wa pili ni chaguo alilochagua yeye!hivi kipi bora kuoa single mama au mwanamke aliyetoa mimba saba?unafikiri yupi anamaumivu? bado mdogo hujui bado kwanini hayo yalitokea hivyo kuwa na muda wa kutosha wa kujifunza zaidi kuliko kuwahukumu.
hebu jaribu kuvaa uhusika wa mazingira hayo au huyo ndio mama yako.
Huyo unayezaa naye bila kumwoa ataitwa nani?Sawa..ila kwangu ni bora kuzaa na kule mtoto wangu..kuliko kua na singo mama..mana inahitaji uvumilivu wa punda..
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo tumeshakuwa tofauti....utasema wanaume hawana makosa katika ndoa??kila ndoa inayovunjika basi mkosa ni mwanamke...una uhakika?..na kama mkosa sio mwanamke je akiachwa ndo aonekane hafai?Same to me that's why tunadiscuss otherwise duniani kusingekuwaga na mada coz maono yanafanana
Sent using Jamii Forums mobile app
Na nyie msikubali kuolewa na single fathers, ila kwa kufanya hivi you are fingting an arleady lost battle!Ndo tumeshakuwa tofauti....utasema wanaume hawana makosa katika ndoa??kila ndoa inayovunjika basi mkosa ni mwanamke...una uhakika?..na kama mkosa sio mwanamke je akiachwa ndo aonekane hafai?
Sent using Jamii Forums mobile app
Oya Mimi Mwanaume...NYIE hiyo imemmaanisha nani?Na nyie msikubali kuolewa na single fathers, ila kwa kufanya hivi you are fingting an arleady lost battle!
Wewe ni single mother?Mfano wa Soda na Single mother wala haviendani na havina uhusiano wowote kwa kuwa soda ni kimiminika hakina hisia lakini huyo Single mother ni binadamu na ana hisia. NINGEKUWA MIMI NINGETENGUA KAULI NA KUOMBA RADHI.
Hujui amepitia wapi na mangapi huyo mama, wengine walitelekezwa, wengine wamefiwa na wapendwa wao ingawa kuna wengine walijitakia wenyewe n.k. Lakini hii haiondoi ukweli kuwa wanahitaji faraja na maisha lazima yaendelee mbele.
Wajibika Mama aishi.
Nadhani hujanielewa..siwezi kuishi na mwanamke wenye watoto kwa mwanaume mwingine..ntaye zaa naye ndio ntaye ishi naye.Huyo unayezaa naye bila kumwoa ataitwa nani?
tehe..teh we ngoja tutakapokukuta umeoa mke wa watoto sita kwa baba wa tanoSingle mother akaolewe na huyo aliyemzalisha! Kama ni mke wa pili ni chaguo alilochagua yeye!
Mambo mengne mnajitafutia wenyew mkuuWakat tunaagana,akawa ananishkuru kua nmempa burudan sana leo,pia kipind niko nae frm mchana,alikua anapokea sana phone calls,akiongea ni mambo ya shule ya mwanae,amerudishwa home,alikua anapigiwa sim na bro wake kua atamrushia chochote kitu ajazie ada,..sasa nkatafakar ,nkasema mmh huu mzigo nsije bebeshwa mie ,..yan tokea juz naskilizia hko kizinga,ila bado sjapigwa,.naskilizia though..ingawa tunawasiliana kama kawaida tokea juz na hajadokeza hzo mambo za vizinga,sasa sjui ni uoga wangu tuu.maana
Utajuaje kama alitoa mkuu?Hivi mtu aliyetoa mimba kama tano hivi na yule aliyezaa yupi bora
Akiwa ni mke wa tatu haina tatizo!tehe..teh we ngoja tutakapokukuta umeoa mke wa watoto sita kwa baba wa tano
Kwako ni afadhari uyo ambae hajazaa ila ametoa mimba 20 kuliko alopata mimba moja akazaa?Unatoka nyumbani kwako unaenda dukani kwa Mangi unaachagua soda iliyofunguliwa na kunywewa kisha ikasazwa? Hivi huoni kinyaa? Soda zilizo na vizibo mbona zimejaa dukani kwa Mangi? Una tatizo gani hadi unaamua kula makombo?
Single mama hana moyo wa kupenda tena. Hapo amekufanya wewe mwanaume kuwa mti wa kivuli cha shida zake za hisia, kiuchumi, kijamii, n.k. Wahenga wanasema "moyo wa mapenzi ni kama glasi, ukipasuka ufa wake hauzibiki". Maana yake kupenda hakujirudii mara mbili, hasa hasa mwanamke akisha zalishwa...ni kana kwamba moyo wa kupenda unatoka pamoja na mtoto kule leba.
Wewe mwanaume uliyekamilika na unajiamini unaanzaje kumuoa single mama?? Ona kinyaa ndugu yangu. Single mama alishapenda tayari na ndiyo maana akaamua kumpa yule mzazi mwenzie mpk akapata ujauzito. Si ajabu alimkuta bikra jamaa akaitoa, kisha akarudia na kurudia na kaurudia hadi mimba. Leo wewe mkolomije unaenda kuoa. Acha uzembe kwenye mapenzi.
Tafiti zinaonyesha kwamba mwanaume wanao oa masingle mama-- wako katika mojawapo ya makundi yafuatayo;-
--hawajiamini
--wanafuata maslahi
--ni washamba washamba Fulani HV
--waliruka stage ktk makuzi yao
WITO; raha ya soda ukute haijaonjwa
Wewe inaonyesha hujui definition ya neno mapenzi af ni mbinafsi sana.Wanahitaji faraja na sio ule moyo wa mapenzi na ndio maana amesema wapo ki socio economic status na kumaliza hisia zao
the great
Af tunashangaa tanzania kuibiwa makinikia wakati kuna vilazaa wa steji hii. Eti kinachomridhisha ni ile siri kisa mtoto anaonekana aliyeuliwa haonekaniHuyo aliyechoropoa ni siri yake, wewe uliyezaa umejiwekea lebo ya mtoto..... kwamba umemegwa mara kibao mpk ukapata mtoto