Kuoa Single Mama ni sawa na kunywa soda iliyofunguliwa na kuonjwa
Asante kwa kumpa maswali makini kama hayo. Tena masingo mama ni mabingwa wa utoaji mimba. Hao watoto walionao wameishi baada ya mimba zao kugoma kutoka. Ndiyo maana masingo mama wengi wameathirika kisaikolojia. Kwasababu wanalea watoto waliojaribu kuwaua. Angalia hata michango yao humu ni full jazba.
Hata wewe umeona hilo
Wamepanic sana na hawawez kujibu maswali kama haya,bad enough wamehama kabisa kwenye mada,ila wana tuambia eti singo mama ndo mke wa kuoa eti wametulia,hawajawahi kutoa mimba na watashika mimba ki urahisi ukiwaoa in contrary to mabinti wasio singo mama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Adabu na hekima havijengeki kwa kuzaa. Kwahiyo unashauri wanawake wapigwe mimba na kuzaa ndipo wapate akili za kuolewa?
Haaa haaa [emoji28] [emoji28] [emoji28]
Ngoja nione jibu la hilo swali yani mimba ikizaa tu basi anakua decent?!!!!
Yaan ingekua hivo sijui kwa nin wangeachika kwenye ndoa ambayo wameshazaa [emoji28] [emoji28] [emoji28]
Au inabid azae kwanza na kuachika ndo awe mke bora[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wala siyo kujifunza mkuu. Ni kwamba hawana soko tena, hivyo akimpata mwanaume anaona kama ni bahati ya mtende na anaamua kumganda na kutoa adabu fake.

Angekuwa na adabu yasingemshinda kwa mume wake wa kwanza.

Angekuwa na adabu asingebeba ujauzito kqbla ya ndoa.

Angekuwa na adabu ansinge jaribu kuitoa mimba hadi iliposhindikana ndiyo akakubali kuzaa.

Hawa masingo mama wanalea watoto waliojaribu kuwaua
Ukweli ndo huo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila mtu na mtazamo wake hakuna kupangiana kama wewe hutaki single mother kausha tuache tulioamua kuwa na single moms tuendelee. Mnawasema vibaya single moms na mnaoa unaosema hawajatumika kuchwa kutwa kugombana kuwa hajatulia. Mtu kuwa single mother siyo kipimo cha kuwa ametumika sana hata hao ambao unawaona hawajazaa wengi wametoa mimba zaidi ya moja. HUWAPENDI SINGLE MOTHER KAUSHA WANAOWAPENDA WATAKUWA NAO.
Asante jimmy maana inafika hatua unajisikia vibaya hao ambao hawajazaa wanatoa mimba tuwaiteje mama Wa marehemu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah kama mi nmetokea kupendana na single maza m1,ni chuma hatar, bado hatujaanza mahusiano rasmi,nipo kwenye probation,.kwa uzur wa huyu dada sjui itakuaje,..na amenielewa kwelkwel,namii nimemuelewa,nshamtoa diner moja,mediteraneo pale,yaan mdada mzur had ananipa mawazo,nawaza kanielewaje hiv mtoto kama huyu,.sijapata jib,af inaonekana huko alikokua kulikua njema saana,yan ile saana,ila kuna kitu alikiongea,maana tulivotoka pale nkampeleka sehem nkamnunulia mwanae pizza ampelekee home,sasa kuna kitu akadokeza,ndo kinanipa mawazo kweli,niingie mazima au la..
Mpende ata sisi single mother tunaitaji mapenz ya dhati

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimepata jibu kumbe ndio maana wanaume wanakuwa hawana Upendo Wa dhati unampenda, unamheshimu unafanya kila kitu kumbe kisa single mother ndio maana mmmmh basi nimepata jibu kumbe Mwanangu ndio sababu mapenz yaniumize acha nimpende Mwanangu ndio atanizika nishakuwa single mother soko hatuna ila wewe ulietuma post Mungu akubariki mpaka kizaz chako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe unauhakika gani mama yako sio single mama!! Inawezekana huyo unayemuita Baba sio baba yako mzazi ila amesingiziwa mimba na mama yako hivyo nawe upo kwenye grp la mtoto kutoka kwa single mama....kabla ya kuandika kaa na ujifikirie mara kadhaa je wewe sio Mhenga kutoka kwa single mama

Sent using Jamii Forums mobile app
Bigup

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio kosa mwanaume kuoa single mom....tatizo akili zenu zafikiria bikira tu....sifa kubwa za mwanamke ni kuwa na upendo wa dhati,mwenye tabia njema,mwenye huruma,mchamungu,mwenye busara...sasa kama mwanamke single mom anazo hizo kwanini nisimuoe? DONT JUDGE A BOOK BY ITS COVERS

Sent using Jamii Forums mobile app
Ubarikiwe maana single mothers tunasakamwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah kama mi nmetokea kupendana na single maza m1,ni chuma hatar, bado hatujaanza mahusiano rasmi,nipo kwenye probation,.kwa uzur wa huyu dada sjui itakuaje,..na amenielewa kwelkwel,namii nimemuelewa,nshamtoa diner moja,mediteraneo pale,yaan mdada mzur had ananipa mawazo,nawaza kanielewaje hiv mtoto kama huyu,.sijapata jib,af inaonekana huko alikokua kulikua njema saana,yan ile saana,ila kuna kitu alikiongea,maana tulivotoka pale nkampeleka sehem nkamnunulia mwanae pizza ampelekee home,sasa kuna kitu akadokeza,ndo kinanipa mawazo kweli,niingie mazima au la..
Ha ha ha mkuu uzuri usikuzuzue aisee...hao majanga yao wanayajua mwenyewe! Hujiulizi chuma kama hicho mwanaume mwenzako kwanini alikipiga chini licha ya kumzalia mtoto?

Anyway nshadate na single mother(s), nawajua vizuri...wengi huwa wanajifanya wema sana nwanzoni na kujifanya hawana hatia ila haipiti muda wanafunua makucha!
 
Asante jimmy maana inafika hatua unajisikia vibaya hao ambao hawajazaa wanatoa mimba tuwaiteje mama Wa marehemu

Sent using Jamii Forums mobile app
Wenye mitazamo hasi kuhusu single mothers wana matatizo ya akili wanasahau kuwa wengi wamelelewa na single mothers ila wao wanachoangalia ni kwa wakati huu ambapo wanahitaji wapenzi. Niaminivyo mm ni kuwa Single mothers ni wanawake wanaojitambua tofauti na hawa wanaochipukia na kujiona bado wana soko na wazuri...
 
Wenye mitazamo hasi kuhusu single mothers wana matatizo ya akili wanasahau kuwa wengi wamelelewa na single mothers ila wao wanachoangalia ni kwa wakati huu ambapo wanahitaji wapenzi. Niaminivyo mm ni kuwa Single mothers ni wanawake wanaojitambua tofauti na hawa wanaochipukia na kujiona bado wana soko na wazuri...
Bigup mwanamke ulienae akushikilie kapata mwanaume jembe anajitambua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom