Jibu na MayangaNi hakuna kweli wa kupambana naye Kwa mambo ya uwongo kama vile ununuzi wa ndege, eti hakuna Mbunge anayejua zilinunuliwa shingapi!
Muongo Yule mtu,
Hahahah roho inauma eeeh? Basi hapo hata mmeo utamnyima chiu kisa Lissu!!Kama unaona Tundu Lisu ana hizo sifa ulizozitaja basi hata wewe si ajabu ni failure hapa Duniani, Tundu Lisu kwanza anaongea kama mtoto wa miaka 12, kila anachokisema ni kama anauliza swali, ...
Isiwe vinginevyo,Kama upo kwenye team washauri ujipange kivingine.Tundu Lissu is so overrated.
Magufuli oyeeeeeeee
Peopleeeeeeeee's poooooweeeer
Mtaje mbunge au waziri alitamka kufaham bungeni ninani?Ni hakuna kweli wa kupambana naye Kwa mambo ya uwongo kama vile ununuzi wa ndege, eti hakuna Mbunge anayejua zilinunuliwa shingapi!
Muongo Yule mtu,
Waongo ni wale wanaomshauri m. Kiti vibaya.Lisu huyu huyu muongo muongo
Usiwe na haraka, unalotaka lifanyike tayari linafanyika. Sababu kwa nini hatua hazijachukuliwa hadi sasa ni kwa jinsi ya kufanya kazi kwa vyombo vya Dola husika. Nitakukumbusha ila usibadili IDMalumumba mwatia huruma kama lijualikali, badala ya kubwabwaja tu mngekusanya vielelezo vyenu na hayo mngepeleka polisi na takukuru ili hatua za kisheria zichukuliwe. Sauti ina mkauka bure.
Yule wa faru john?Waongo ni wale wanaomshauri m. Kiti vibaya.
mkuu mtoa mada yuko sahii ,nami Kuna kitu nilichangia hum, nikisema wenda lissu ana dam ya karibu na mwl nyerere ,Kwanza anaongea kiswahili kizuri na kinachoeleweka Sana na chenye point za kutosha Sana ,na kweli watu aina lissu ni wachache afrika na dunia kwa ujumla,mfano ukienda Kila nchi utamkuta mmoja tu ,azia Uganda,Rwanda,afrika kusin warema n.k sio wengi mkuuKama unaona Tundu Lisu ana hizo sifa ulizozitaja basi hata wewe si ajabu ni failure hapa Duniani, Tundu Lisu kwanza anaongea kama mtoto wa miaka 12, kila anachokisema ni kama anauliza swali, ...
Kwa kizungu kipi anachoongea..Hivi ndugu unafuatia kampeni kweli wewe miii sioni wa kumlingalisha na magufuri yaani hata rais wa AMerica na uingereza hawamfii magufuri
Kile kichwa balaa anaweza kuiongoza dunia( umoja wa mataifa ) bila tatizo
Sent from my SM-A910F using JamiiForums mobile app
Mahaba ya dhaaati yamekushukiaaaa, si unao vitimbiiiii, ongeza na fitinaaaaa...Watu wanamuangalia Lissu kama mwanasiasa na mwanasheria, lakini nje ya hapo wanasahau hichi kichwa ni typical Genius. Huyu ndo Messi na Christiano Ronaldo wa siasa za Tanzania.
Lissu amewazidi mbali sana wanaoshindana naye kwa sasa, sio Magufuli sio Lipumba sio kiongozi yeyote aliyepo hai Tanzania ya sasa.
Lissu kwa umri wake na kiwango anachokionesha, mpaka sasa nimekubali kwamba anaingia kwenye level za wanasiasa wenye uwezo mkubwa sana ya kushawishi watu kwa hoja.
Lissu ana 'tone' moja ya hatari sana katika kuzungumza, hii silaha ya maangamizi ambayo wamejaliwa wanasiasa wachache sana kama kina i) Mahatma Gadhi, ii) Julius Nyerere, iii) Barack Obama na iv) Thomas Sankara. Ni kipawa ambacho wanapewa watu wachache sana, na wanasiasa wenye hichi kipawa huwa hawana historia ya kuwa na mpinzani.
Niliwahi kutoa huu uzi hapa kipindi cha nyuma ----> Uchaguzi 2020 - 'Charisma' ya Tundu Lissu itazidi kumpa shida sana Magufuli na CCM kwa ujumla
Kinachotokea sasa, ni kwamba CCM na Magufuli wanaota ndoto kila uchao wakidhani Tundu Lissu labda atapoa makali, lakini kinyume chake ndo kinachotokea, Lissu anazidi kuwa moto siku hadi siku, vibe lake limeshawaingia wapiga kura.
Lissu anaupeleka huu mtanange kwa akili kubwa sana ambayo ndiyo kila uchao inazidi kumpa chance ya kushinda uchaguzi wa October 28, Lissu anajua wananchi ndo wenye nguvu na sio serikali ya CCM, anachofanya ni kutumia akili yake kubwa kupiga spana za uhakika na kuwajaza wananchi falsafa ambayo ndiyo itakuwa msukumo wa wananchi kupiga kura na kulinda kura.
View attachment 1580724
Watu wanamuangalia Lissu kama mwanasiasa na mwanasheria, lakini nje ya hapo wanasahau hichi kichwa ni typical Genius. Huyu ndo Messi na Christiano Ronaldo wa siasa za Tanzania.
Lissu amewazidi mbali sana wanaoshindana naye kwa sasa, sio Magufuli sio Lipumba sio kiongozi yeyote aliyepo hai Tanzania ya sasa.
Lissu kwa umri wake na kiwango anachokionesha, mpaka sasa nimekubali kwamba anaingia kwenye level za wanasiasa wenye uwezo mkubwa sana ya kushawishi watu kwa hoja.
Lissu ana 'tone' moja ya hatari sana katika kuzungumza, hii silaha ya maangamizi ambayo wamejaliwa wanasiasa wachache sana kama kina i) Mahatma Gadhi, ii) Julius Nyerere, iii) Barack Obama na iv) Thomas Sankara. Ni kipawa ambacho wanapewa watu wachache sana, na wanasiasa wenye hichi kipawa huwa hawana historia ya kuwa na mpinzani.
Niliwahi kutoa huu uzi hapa kipindi cha nyuma ----> Uchaguzi 2020 - 'Charisma' ya Tundu Lissu itazidi kumpa shida sana Magufuli na CCM kwa ujumla
Kinachotokea sasa, ni kwamba CCM na Magufuli wanaota ndoto kila uchao wakidhani Tundu Lissu labda atapoa makali, lakini kinyume chake ndo kinachotokea, Lissu anazidi kuwa moto siku hadi siku, vibe lake limeshawaingia wapiga kura.
Lissu anaupeleka huu mtanange kwa akili kubwa sana ambayo ndiyo kila uchao inazidi kumpa chance ya kushinda uchaguzi wa October 28, Lissu anajua wananchi ndo wenye nguvu na sio serikali ya CCM, anachofanya ni kutumia akili yake kubwa kupiga spana za uhakika na kuwajaza wananchi falsafa ambayo ndiyo itakuwa msukumo wa wananchi kupiga kura na kulinda kura.
View attachment 1580724
mkuu mtoa mada yuko sahii ,nami Kuna kitu nilichangia hum, nikisema wenda lissu ana dam ya karibu na mwl nyerere ,Kwanza anaongea kiswahili kizuri na kinachoeleweka Sana na chenye point za kutosha Sana ,na kweli watu aina lissu ni wachache afrika na dunia kwa ujumla,mfano ukienda Kila nchi utamkuta mmoja tu ,azia Uganda,Rwanda,afrika kusin warema n.k sio wengi mkuu
Usinifokee si kukuzaa Mimi ,we Kama una IQ lipi wanizidi mkuu ninao uwezo wa kukuajiri wewe na familia yako pamoja na maisha magum yaliyopo ,tueshimiane mkuuUna low IQ kama unamuona hivyo, siyo kosa lako, ...