Mungu awabariki sana popote walipo. Angalia Tundu ni mkristo list ya waliotoa msaada wote waislam...Kuna watu wanne muhimu sana ambao Tundu Lissu aliwataja kuhusu tukio lake.
1. Khadija Juma Akukweti.
2.Amina Abrahman Kanyama.
3.Adam Mohamed Bakari.
5. Salim Turky [sasa ni marehemu].
..Hao watatu wa kwanza ndio waliomtoa TL toka eneo / area D aliposhambuliwa mpaka Dodoma Hospitali.
..Salim Turky ndiye aliyetoa udhamini ili ipatikane ndege ya kumsafirisha TL toka Dodoma kwenda Nairobi.
..Pia wapo madaktari na wauguzi wa Dodoma Hospitali ambao walim-stabilize ili aweze kutolewa Dodoma kwenda Nairobi.
kufoka ni moja ya sababu hua simsikilizi jiwe
Amina, sifa utukufu na shukrani viwe kwa Bwana.Ashukuriwe Mungu kwa mipango yake kwa wanadamu. Kiukweli Mungu ana kazi anataka aifanye na huyu ndugu.
YESU NI BWANA NA MWOKOZI
Mungu wa Israel na Isaka, Mungu wa Ibrahim, Mungu wa Eliya.Hakika Mungu anastahili kuabudiwa na kuheshimiwa.
Sio mungu wa Lugola
Wakuu
Huyu Bibi nimekutana nae kwenye Dalala mkoa x anasema atamchagua Lissu kwa sababu akiwa anahitubia wala hafoki kama viongozi wengine
Nadhani sasa ni muhimu kwa viongozi kujifunza lugha za kuongea na wananchi unapowahutubia maana mwananchi ndio mwenye nchi yake sio kumfokea wala kumtisha hapana
Huyu Bibi kanieleza hivo nikabaki nimeinamisha kichwa.
Mpaka mzee amepata panchaCcm matairi yote yamepata Pancha
Halafu ni WA dini moja, Mimi ni mkristo lakini hakuna awamu Bora kama zilizoongozwa na Ma Rais waislamu ,wenzetu Wana hofu ya MUNGU...Kuna watu wanne muhimu sana ambao Tundu Lissu aliwataja kuhusu tukio lake.
1. Khadija Juma Akukweti.
2.Amina Abrahman Kanyama.
3.Adam Mohamed Bakari.
5. Salim Turky [sasa ni marehemu].
..Hao watatu wa kwanza ndio waliomtoa TL toka eneo / area D aliposhambuliwa mpaka Dodoma Hospitali.
..Salim Turky ndiye aliyetoa udhamini ili ipatikane ndege ya kumsafirisha TL toka Dodoma kwenda Nairobi.
..Pia wapo madaktari na wauguzi wa Dodoma Hospitali ambao walim-stabilize ili aweze kutolewa Dodoma kwenda Nairobi.
Ndiyo hali halisi , anategemea ma-ded na tume tu , maana Polisi wamesha mkataa[emoji23]Mpaka mzee amepata panchaView attachment 1581783
Hata jeshi limeshaaza kukubaliana hao maded wasijidanganye safari hiiNdiyo hali halisi , anategemea ma-ded na tume tu , maana Polisi wamesha mkataa[emoji23]
Wanakula faida ya zuio la mikutano ya siasaCcm matairi yote yamepata Pancha