Mikutano ya kisiasa iliyozuiwa kwa miaka mitano huku CCM wakiifanya kwa mgongo uzinduzi wa vitu au miundombinu iliyojengwa kwa fedha za wananchi ,misaada na mikopo kutoka benki mbalimbali za duniani.
Miezi 2 tu ya kampeni Mh. Tundu Lissu (unshakable) ameleta kimbunga ambacho kinawasomba wanaCCM na viongozi wao mpaka imefika hatua ilani yao wameiweka kando na kutoa ahadi za papo kwa papo bila kujali ilani yao inasemaje.
Mikutano na wanahabari haikatiki sasa ili kujikinga na kimbunga cha Lissu. Itokee CCM waendelee kutawala au waanguke 28 Oct. hawataweza kukisahau kimbunga cha Lissu.