Singida watu wanaishi kwenye nyumba za matope.Hujafika singida wewe, kwa aliyoyafanya Rais Magufuli singida anastahili kura 100%
Hujielewi singida hatuwezi kumtupa mtoto wetu lissu tukamchagua msukuma.Sisi warangi, wamyiramba na wanyaturu tunaenda na Rais Magufuli mbeba maono ya Watanzania
Unaongea usichokijua ccm imeiharibu singida vibaya saivi ni masikiniSisi warangi, wamyiramba na wanyaturu tunaenda na Rais Magufuli mbeba maono ya Watanzania
MTU anakuambia warangi ni watu wa asili ya singida si hajielewiiHujielewi singida hatuwezi kumtupa mtoto wetu lissu tukamchagua msukuma.
Subiri uone kati ya majimbo 8 ccm wakishinda sana 3 (iramba zote mbili na manyoni moja) huku kwingine magufuli akajinyongeSingida ni Ccm, hilo halibadiliki
Wanasingida hawawezi kupigia kura watu wanaovaa nguo nyekundu wataleta vita
Kiingereza chanini kilugha changu kinanitoshaHiki ndio Kiingereza mnachofundishwa na Lisu?
Hakuna kura za huruma
Singida kura zote kwa Rais Magufuli
Huko CCM kuna hata mtu mmoja anaweza kumhoji kitu mwenyekiti wenu?Ndugu zangu,
Tundu ameingia mkoa wa Morogoro na sera ya kuahidi haki endapo atakuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania lakini la kushangaza kila alipopita wananchi wamehoji wakitaka akabadili katiba ya Chadema kwanza iruhusu wanachama kuuhoji uongozi bila kufukuzwa la sivyo ni mwongo.
Hoja hii imemfanya Lissu na timu yake ya kampeni kuwa mbogo wasijue la kufanya hususani kutoa majibu stahiki kwa wananchi walio wengi.
Ama kweli urais sio urahisi.
Naam, kweli kabisa. Kama tu vile Bernard Membe alivyokuwa huru kuhoji utamaduni wa ccm wa kumuachia aliye rais amalizie ngwe. Hiyo ilikuwa ni Demokrasia ya hali ya juu kabisa, na mfano wa kuigwa duniani koteNdugu zangu,
Tundu ameingia mkoa wa Morogoro na sera ya kuahidi haki endapo atakuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania lakini la kushangaza kila alipopita wananchi wamehoji wakitaka akabadili katiba ya Chadema kwanza iruhusu wanachama kuuhoji uongozi bila kufukuzwa la sivyo ni mwongo.
Hoja hii imemfanya Lissu na timu yake ya kampeni kuwa mbogo wasijue la kufanya hususani kutoa majibu stahiki kwa wananchi walio wengi.
Ama kweli urais sio urahisi.
Kwa response waliyomeonyesha watu wa Dar hata hizo laki tatu ni shidahuyo hata laki tatu hapati
Kama ilivyowaengua wagombea wa upinzani kwa kishindo. Haijawahi tokeaCCM itashinda kwa kishindo
Sasa kwa nini unavamia lugha za wengine kwa pupa?Kiingereza chanini kilugha changu kinanitosha
Nilikuwa nachomokea Tu kama JIWE alivyo chomekea intapretinuear pale Mkwawa U.Sasa kwa nini unavamia lugha za wengine kwa pupa?
Very poor analysis! Elements of analysis ni zipi? Hiyo ya kwako ungesema kuwa ni kutokana na ramli chonganishi niliyoipiga.Kama umati wa Lowasa 2015 ulipata kura milioni sita ,umati wa mikutano wa Lisu ambao ni kama asilimia kumi ya wa Lowasa atapata kura laki sita maximum kwa Hesabu za ratio analysis hatazidi hapo
Umehitimu kwenye darasa la Lisu.Nilikuwa nachomokea Tu kama JIWE alivyo chomekea intapretinuear pale Mkwawa U.
Asante kwa kutudadavulia
Yawezekana hata hizo ni nyingi.Kama umati wa Lowasa 2015 ulipata kura milioni sita ,umati wa mikutano wa Lisu ambao ni kama asilimia kumi ya wa Lowasa atapata kura laki sita maximum kwa Hesabu za ratio analysis hatazidi hapo
Kama umati wa Lowasa 2015 ulipata kura milioni sita ,umati wa mikutano wa Lisu ambao ni kama asilimia kumi ya wa Lowasa atapata kura laki sita maximum kwa Hesabu za ratio analysis hatazidi hapo
Majuha yamekutanaAjitahidi amfikie ana mgwira
Lissu hataamini macho yake atakavyochakazwa