Alie kwambia tupo mashindano ya mundiko nani ,?nakupa onyo la pili na la tatu ukiludi nitatoa tamko juu yako asema na itakua


Wewe shida yako ni zaidi ya muandiko, haujui hata tu jinsi ya kuunda sentensi na kueleweka, low IQ!
 
Hahahaha!!! Watu wa Mukendo na Baruti hawataki utani na vitu vya kijani. Ujue magugu maji yanawazingua sasa ukija tena na manguo ya kijani ndo wanaona umeyaleta tena. Hahahaha
 
God save Tundu Antipus Lisu
 
Kama unaona Tundu Lisu ana hizo sifa ulizozitaja basi hata wewe si ajabu ni failure hapa Duniani, Tundu Lisu kwanza anaongea kama mtoto wa miaka 12, kila anachokisema ni kama anauliza swali, ...
Unafahamu hata uwezo wa Lissu darasani? Unajua shule alizosoma zinasifa gani?

Waulize majaji na mahakimu juu ya uwezo wa huyu mtu,kisha uondoe hapa matakataka yako.
 
Jambo la pekee kabisa ili kumsaidia TAL, ni kuendelea kumjenga kisaikolojia zaidi.
Hilo lipo wazi kabisa kwamba hawezi kushinda wala kupata Wabunge wengi zaidi ili kuunda serikali.
 
Nikweli gorofani yuko vizuri sana mpaka nyoka wanatoka mapangoni 'yule anaependa kuitisha wandishi wa habari nadhani kapwaya kwenye nafasi yake' spana zimemzidi hadi anaenda kupumlia kwenye vyombo vya habari bado kajaa maji 'empty head' upinzani umehamia kwa wananchi ambao hawana vyama
 
Wewe shida yako ni zaidi ya muandiko, haujui hata tu jinsi ya kuunda sentensi na kueleweka, low IQ!
Mungu akushughulikie kadri apendavyo ,avunje Kila mahali na avunje kweli ,kesho huione Jana na Jana uione ni leo ,kataliwa Kila usimamapo , kuanzia jirani yako ,mpaka kazini kwako,na maboss wako,imekua na itakua asema yeye mwenye nguvu kuliko Kila kitu ha dunian,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…