Mzalendo Uchwara
JF-Expert Member
- Jan 26, 2020
- 4,437
- 13,836
Hata mimi nilishtuka kidogo niliposikia ile ya ma DED, inabidi ajitahidi kuwa na multiple sources ambao hawajuani ili aweze ku verify taarifa anazopokea.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona Magufuli yake TISS wazalendo wamevujishia Lissu amekutana na wakurugenzi ikulu. Kila siku kigogo anavujishiwa sori na TISS wazalendo.
Lima papai wewee Acha kubwabwaja
Kigogo ni kama speaker, anapewa taarifa nyingi za ukweli na nyingine nyingi za uongo.Mbona Magufuli yake TISS wazalendo wamevujishia Lissu amekutana na wakurugenzi ikulu. Kila siku kigogo anavujishiwa siri na TISS wazalendo.
Lima papai wewee Acha kubwabwaja
Kwani siyo ya kweli? Uuuh!!!!Hata mimi nilishtuka kidogo niliposikia ile ya ma DED, inabidi ajitahidi kuwa na multiple sources ambao hawajuani ili aweze ku verify taarifa anazopokea.
Lissu anajambisher watu hakuna cha kikulacho wala nini na akiendelea na hii spidi kua uwezekano tukapata Rais mwanamke kwa muda kabla ya uchaguzi mkuu oktoba 2020Kigogo ni kama speaker, anapewa taarifa nyingi za ukweli na nyingine nyingi za uongo.
Ushauri wako ni mzuri.Ulianza taratibu na hukutegemea kuwa ungepata Kuungwa mkono kwa kiasi Kikubwa hivi ambapo hata Mimi kwa sasa naona 'Confidence' yako ipo juu tofauti na pale mwanzoni. Ila kwa sasa unachokikosea tu na kama usipokuwa makini nacho 'Kitakuharibia' katika Kampeni zako ni tabia yako ya Kupenda Kusikiliza 'Umbea' na hata 'Uwongo' unaoletewa au Kuusoma Mitandaoni...
Hivi itakuaje kama atakuwa na ushahidi?Ulianza taratibu na hukutegemea kuwa ungepata Kuungwa mkono kwa kiasi Kikubwa hivi ambapo hata Mimi kwa sasa naona 'Confidence' yako ipo juu tofauti na pale mwanzoni. Ila kwa sasa unachokikosea tu na kama usipokuwa makini nacho 'Kitakuharibia' katika Kampeni zako ni tabia yako ya Kupenda Kusikiliza 'Umbea' na hata 'Uwongo' unaoletewa au Kuusoma Mitandaoni...
Sasa kwenye team yake ya kampeni kuna bananga, unategemea nini hapo? Sijui lossu alifikiria nini kumuweka bananga kwenye timu yake ya kampeni
Mataarifa kibao ya kuhusu mienendo yake yanavuja kila siku
Wanaompa info Kigogo ndio hao hao wanaompa LissuUlianza taratibu na hukutegemea kuwa ungepata Kuungwa mkono kwa kiasi Kikubwa hivi ambapo hata Mimi kwa sasa naona 'Confidence' yako ipo juu tofauti na pale mwanzoni. Ila kwa sasa unachokikosea tu na kama usipokuwa makini nacho 'Kitakuharibia' katika Kampeni zako ni tabia yako ya Kupenda Kusikiliza 'Umbea' na hata 'Uwongo' unaoletewa au Kuusoma Mitandaoni...
Ulianza taratibu na hukutegemea kuwa ungepata Kuungwa mkono kwa kiasi Kikubwa hivi ambapo hata Mimi kwa sasa naona 'Confidence' yako ipo juu tofauti na pale mwanzoni. Ila kwa sasa unachokikosea tu na kama usipokuwa makini nacho 'Kitakuharibia' katika Kampeni zako ni tabia yako ya Kupenda Kusikiliza 'Umbea' na hata 'Uwongo' unaoletewa au Kuusoma Mitandaoni...
Hata mimi nilishtuka kidogo niliposikia ile ya ma DED, inabidi ajitahidi kuwa na multiple sources ambao hawajuani ili aweze ku verify taarifa anazopokea.
Hawachanganyikiwi na uwingi wa watu pekee bali na hamasa waliyo nayo wahudhuriaji. Watu waliokuja wenyewe kwa gharama zao. Tena huku vyombo vya habari vikiwa vimepigwa marufuku kutangaza mikutano ya Lisu.Ni wingi wa watu kujitokeza kumsikiliza LISSU angalia hapa ni Tarime Vijijini Leo hiii
View attachment 1582809
Acha uongo wewe bashite uoga unawaponza sana yeye akipata tipu hata ya asilimia 0.000001 aiseme tu tume hii imeenguwa wabunge 52 madiwani 1200 ina uharari gani kwa chadema.Ulianza taratibu na hukutegemea kuwa ungepata Kuungwa mkono kwa kiasi Kikubwa hivi ambapo hata Mimi kwa sasa naona 'Confidence' yako ipo juu tofauti na pale mwanzoni. Ila kwa sasa unachokikosea tu na kama usipokuwa makini nacho 'Kitakuharibia' katika Kampeni zako ni tabia yako ya Kupenda Kusikiliza 'Umbea' na hata 'Uwongo' unaoletewa au Kuusoma Mitandaoni...
Polepole, siku hizi hata akitokea mbele ya watu, amekuwa kama mganga wa kienyeji mpiga ramli chonganishi.Sasa hivi amekuwa kama mpga debe wa stendi, anatukana huyooo mbele ya vyombo vya habari