Youngstunna
JF-Expert Member
- Jul 5, 2016
- 266
- 300
Tarime na Mara yote wanajitambua sina wasiwasi nao.
Mkuu naomba kama inawezekana nipatie ilani ya uchaguzi ya CHADEMA ya 2020 nataka niisome maana simuelewi sana huyu mgombea wa CHADEMA ahadi zake ni nyepesi mno kwa taifa ambalo sasa lipo middle income (lower). Nilitarajia aje na hoja nzito za kujenga uchumi imara wa nchi yetu lakini naona anapuyanga puyanga tu mambo mepesi mepesi sana. Ahadi anzatoa mgombea urais wa CHADEMA zinafaa kutolewa na wagombea ubunge na siyo mgombea urais wa JMT.Kampeni za TL zimejaa uongo kabisa mwingi. Angekuwa mpambe tu ingekuwa poa. Shida yeye ndie Rais mtarajiwa unategemea nini.
Ahadi zake pia ni ngumu uno kutekelezeka. Sioni kama kutakuwa na serikalii serious ama maigizo tu.
Kiufupi ni serikali ya kufikilika.
OMG...Relax n take it easy Gentamycine..no need of insults and b blessed.Nimemshauri 'Mtani' wangu Tundu Lissu na wala 'sijamlazimisha' akubaliane na 'Mawazo' yangu haya sasa Wewe 'Unateseka' na nini hivi? Swine!!!!
Kumbuka huwezi kujitetea kuwa umevunja sheria kwa sababu mwenzako kaivunja. Kila mtu ataubeba msalaba wake. Kama TL anataka asijiingize kwenye m,tego awe anahakikisha taarifa anazoletewa. Huenda hata hao TISS wanampa taarifa za uongo makusudi ili aingie mtegoni. Fact check (verify) all info. Kama ni kweli anko Magu aliwaita wasimamizi, basi TL asingekurupuka kuyasema hayo. Angengoja kwanza wakutane na akithibitishiwa wako mkutanoni na anko Magu, basi zitoe hizo taarifa. Sasa yeye amekurupuka, hata kama ilikuwa kweli wamemshtukia na kufuta kila kitu! Ushahidi atatoa wapi siku atakapofika mbele ya tume! Je, akiadhibiwa atyasema ameonewa? Grow up! Don't fall to simple traps!Acha uongo wewe bashite uoga unawaponza sana yeye akipata tipu hata ya asilimia 0.000001 aiseme tu tume hii imeenguwa wabunge 52 madiwani 1200 ina uharari gani kwa chadema .mkurugenxi wa uchaguzi taifa kada mtiifu wa ccm asiyenaibu kabisa kupendelea mgombea mmoja wapo lazima aaambiwe mabaya wayafanyayo magufuli alitumbuwa watu wengi na kusweka watukibao nagerezani akijiita yeye msafi hana doa kumbe ni fisadi namba 1 lazima aambiwe kama yeye afanyavyo
Kuna haja ya kukataa ushenzi wa ccm hata kwa maandamano na kwa namna yoyote ile ili mradi ccm itoke mwaka huu.Waswahili husema upele umempata mkunaji Tundu Lisu mmoja ameivuruga CCM yote na vibaraka wake wote wanao isadia kuiba kura kila uchaguzi.
Walijaribu kujibu kila hoja anayoizungumza huko nako akawa anawarudi vizuri Sana, sasa wanakuja vipropaganda uchwara kuwa ana uraia wa nchi mbili , Mara ana wapotosha wananchi wakidhani kuwa bado kuna watanzania wajinga wasio jua kupambanua uongo na ukweli. Mara anahubiri uchochezi Ni uchochezi gani alio uhubiri, kwani kwa kuiba kura kunako fanywa na CCM katika kila chaguzi za nchi hii sio uchochezi.
CCM Kama mmekosa kibali Cha kuwaongoza watanzania 2020, kaeni pembeni nanyi pia muongozwe.
ThubutuuuuuuLissu ana akili kuliko wewe na magu mkichanganywa.
Hawachanganyikiwi na uwingi wa watu pekee bali na hamasa waliyo nayo wahudhuriaji. Watu waliokuja wenyewe kwa gharama zao. Tena huku vyombo vya habari vikiwa vimepigwa marufuku kutangaza mikutano ya Lisu.
Wao pamoja na kuwasafirisha wahudhuriaji, kuwapa pesa, kuwajaza wasanii, bado wanaohudhuria ni watu waliosinyaa. Wanaoashiria kuwa wamelazimishwa, kama alivyotamka Mama Maria Nyerere, 'Nimeletwa kama walaivyoletwa wengi ili tuongeze idadi ya vichwa'.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hatari sanaYani wanawapandisha kama mizigo binadamu wenzao, bila kuzingatia usalama wao
Kwa muda mrefu wataanza tulikua tunasemaNi wingi wa watu kujitokeza kumsikiliza LISSU angalia hapa ni Tarime Vijijini Leo hiii
View attachment 1582809
Maccm na magufuli kinachowauma zaidi ni kwamba wananchi wanakwenda wenyewe kwenye mikutano ya Lissu bila kubebwa na mafuso kama wanavyofanya maccm. Pia wale wa Lissu hawaiishii tu kuhudhuria kwa gharama zao bali pia wanashiriki live kuchangia gharama za kampeni za RAIS MTEULE TUNDU LISSU.Hawachanganyikiwi na uwingi wa watu pekee bali na hamasa waliyo nayo wahudhuriaji. Watu waliokuja wenyewe kwa gharama zao. Tena huku vyombo vya habari vikiwa vimepigwa marufuku kutangaza mikutano ya Lisu.
Wao pamoja na kuwasafirisha wahudhuriaji, kuwapa pesa, kuwajaza wasanii, bado wanaohudhuria ni watu waliosinyaa. Wanaoashiria kuwa wamelazimishwa, kama alivyotamka Mama Maria Nyerere, 'Nimeletwa kama walaivyoletwa wengi ili tuongeze idadi ya vichwa'.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwenyekiti wao hizi picha zinamfanya atembee na glucose
Sasa wamekimbilia NEC....na ukizingatia hapo hakuna cha wasanii wala kusomba watu kwa malori ili kuongeza idadi ya vichwa
hata matangazo ni ya kiaina tu...upande wa pili kuanzia magazeti, redio, tv's nk nk
wakipanic ni halali yao kabisa, c ulimsikia mwenyekt kadanganywa eti mikutano ya TL picha za kuedit!
Kabisa Mkuu sasa wamepanic ....wanapiga mayoweeeMaccm na magufuli kinachowauma zaidi ni kwamba wananchi wanakwenda wenyewe kwenye mikutano ya Lissu bila kubebwa na mafuso kama wanavyofanya maccm. Pia wale wa Lissu hawaiishii tu kuhudhuria kwa gharama zao bali pia wanashiriki live kuchangia gharama za kampeni za RAIS MTEULE TUNDU LISSU.
Ukiwa jiwe lazima kichwa kikuume.
Tunakoelekea wakiendelea kumsumbua mgombea wetu kutakuwa kubaya zaidiKabisa Mkuu sasa wamepanic ....wanapiga mayoweee
Heheheee...... Juzi dodoma kwenye vikaobile nasikia alipendekeza wamlete michael jackson asaidie kutumbuiza kwenye kampeni lkn kwa mara ya kwanza wajumbe wamemwambia ukweli kua wako jacko alishafariki miaka mingi iliyopitaNasikia anataka kujitoa kwenye kinyanganyiro.