Vipi kuhusu wagombea wetu kuenguliwa ndo imetoka ama kuna nini kinaendelea?
 
Nasikitishwa na wa Uzalendo wa TASNIA YA HABARI CHINI. Wana ripoti upande Mmoja zaidi. Tatizo nini?
 
Siasa za Africa ngumu sana.

kushindana na watu ambao wameshashinda.

mengineyo ni majaaliwa
 
Naam, Mambo yameiva,Nami nimekiondoa kitambulisho changu cha mpiga kura kwenye wallet na kukihifadhi sehemu muhimu,kwa ajili ya kusubiri kumpigia kura Mh. Lissu. Hayo maisha si yetu ni katusababishia Magufuli.
 
Wapikaji wa vurugu ni Lumumba wakishirikiana na jeshi Lao la police aka policcm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…