Mkwaruu Kombo-Tapa
Member
- Aug 1, 2020
- 62
- 60
Mku Mimi ni mwanaccm ile pale kwenye ukweli tuukubali tuu japokuwa ni vigumu kuukubali kuwa Lisu amebadilisha upepo wa hali ya kisiasa kwa ajili ya anachokisimami kipitia Ilani ya Chama chakeJana mlijificha wapi? Au bando limekata?
Mwambieni aende mara maana yeye anaenda sehemu ambayo anadhani kuna washabiki wengi
Maada gani sasa? Hata wazanzibari waliona huyo ni domo kaya tu wakampuuza,
Kama anataka watu wajue historia za muungano aombe kazi za ualimu akafundishe huko madarasani,
Kwa sasa watu wanataka maendeleo na sio historia.
Niko Mara huku kila Jamii ni Chadema halafu huku huwezi kubeba watoto wa shule kuja kwenye kampeni. Halafu kuhusu wasanii tuna Rirandi na muziki wa Benga hatuyumbi wala kushoboka na Kina Diamond aje Tarime asikilizieJana mlijificha wapi? Au bando limekata?
Mwambieni aende mara maana yeye anaenda sehemu ambayo anadhani kuna washabiki wengi
Kwa umati wa watoto wale wa ccm kirumba ama kuna namna mkuuLisu tutamnyoosha kwenye box la kura atarudi analia kwa beberu wake Amsterdam ili akamfariji.
Tukutane oktoba, hataamini anachokiona.
Ukiiona badala ya Mheshimiwa kuinadi ilani ya chama chake wakati wa kampeni, yeye anaendelea tu kwa makusudi kutoheshimu na kukiuka kanuni na maadili ya uchaguzi, ujue hali mbaya.
Wote ukiwajumlisha hawajai kiganja cha LisuKwa hivi sasa mgombea urais anayeoonekana kuwa na nguvu za watu wazima wapiga kura ni Tuundu Lissu wa Chadema. CCC wanahaha kwa mbali, kwani kama wamepigwa shoti. Majaliwa na Samia wamejigawa kufanya mashambulizi upande mwingine lakini bro bado ana ajenda inayotafisirika. Hawa watu 3, Magufuli, Samia na Majaliwa ni kama vile Lissu anawapa darasa. Leo utawasikia wakihaha kujibu hotuba zake na kesho wakiamka wanakopi na kupesti ilani yake. Ama kweli sikio la kufa...........
Tukirejea kwenye media, utawasikia watangazaji wakianza na habari za ccm na vyama vingine halafu mfalme anakuwa mwisho. Maana yake nini, ukianza na habari za Lissu basi baada ya taarifa yake watu wanasepa kutazama. Kwa maana nyingine watu wapo kumfuatilia Lissu tu. Nawasilisha
saivi mnaedit ili ƙuupinɗisha uƙweli😂😂😂😂Ndugu zangu,
Haikueleweka mara moja kama watoto hawa wamefunga shule au lah. Picha inajieleza zaidi.View attachment 1563585
This man is exceptional and peculiar. A visionary and charismatic leader we have been waiting for along time. Every green @$$ will be kicked mercilessly.
Antipas Muigayi the green @$$ kicker
Atakayepingana na hili andiko baasi anahitaji tiba ya haraka mno
mnajifarij kwasababu ya TISS, NEC, police na wakurugenzi
Lijuakali yupi? Huyu tapeli ambae hata nyie CCM mmemkataa kwa utapeli wake?Lijuakali said it all tulivyoiba kura
38%Matokeo ya uchaguzi ya CCM....
2005 - 80%
2010 - 61%
2015 - 58%
2020 - ??![emoji2960]
Kushinda urais siyo kwenda kufoka foka Zanzibar na kusema utavunja muungano
Picha inajielezasaivi mnaedit ili ƙuupinɗisha uƙweli😂😂😂😂
Lijuakali yupi? Huyu tapeli ambae hata nyie CCM mmemkataa kwa utapeli wake?
Kama Lijuakali ni kitengo basi Tanzania tutakuwa masikini milelehajakatwa.... kitengo yule kazi maalum
Bado wako kibao humo....ikiwako DJ
Heil Magu