YEHODAYA,
Dar hawana mpango naye! Maendeleo aliyoleta Rais Magufuli Dar huyo Msaliti akawandanyanye huko Mikoani. Hatasahau alikuja Kawe tukawa tunacheki kama boya. Na sasa Dar mabango ni Magufuli tupu na bendera za CCM pekee.
 
Jibu hoja msaliti hana mvuto Dar!
 
Unateseka sana. Na bado
 
Dar hawana mpango naye! Maendeleo aliyoleta Rais Magufuli Dar huyo Msaliti akawandanyanye huko Mikoani. Hatasahau alikuja Kawe tukawa tunacheki kama boya. Na sasa Dar mabango ni Magufuli tupu na bendera za CCM pekee.
Kwahiyo kabla yake Dar kulikua hamna maendeleo?

Ww hayo maendeleo umeyapimaje?
 
2015 ulikuwa muungano wa vyama vingi(ukawa)na siasa za 2015 ni tofauti na mwaka huu,,,uchaguzi wa mwaka huu ccm ndio wana added advantage kwa sababu wamefanya siasa na kujiimarisha peke yao kwa miaka mitano huku washindani wao wakiwa blocked kwenye jiza nene
 
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜† wazee kweli Lissu kashika watu pabaya, si ndio hawa walioropoka kuwa Lissu mikoani na vijijin hajulikani
 
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜† wazee kweli Lissu kashika watu pabaya, si ndio hawa walioropoka kuwa Lissu mikoani na vijijin hajulikani
Yaaani CCM wamevurugwa na Lissu!! Hawaamini wanachokiona kwa kweli!! Huku Jf wameishia kutunga propaganda na uzushi tu juu ya Lissu na Chadema!!!

Kweli Mungu ameamua CCM wapumzike mwaka huu!!
 
Yaaani CCM wamevurugwa na Lissu!! Hawaamini wanachokiona kwa kweli!! Huku Jf wameishia kutunga propaganda na uzushi tu juu ya Lissu na Chadema!!!

Kweli Mungu ameamua CCM wapumzike mwaka huu!!

Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…