Hongera Sana Ally kwa kufikisha sms 77 tangu ujiunge JF Mwaka2015!
Kuna kitu hukumwambia mamayako kuwa hao wasanii wanaopewa heshima na Rais wamepepelekwa kwenda kuwavuta watu wasiomchague Lissu ambaye watu wanamshangaa!
 
Hongera Sana Ally kwa kufikisha sms 77 tangu ujiunge JF Mwaka2015!
Kuna kitu hukumwambia mamayako kuwa hao wasanii wanaopewa heshima na Rais wamepepelekwa kwenda kuwavuta watu wasiomchague Lissu ambaye watu wanamshangaa!

Nafikiri wewe unafura kwa kutoelewa style ya CCM tu. Katika miaka 25 iliyopita, imekuwa ni utamaduni wa CCM kuendesha kampeini kama burudani badala ya stress; mwanzoni walikuwa wanatumia TOT baadaye wakaongezea wasanii binafsi. Kwa hiyo hao wasanii unaowaona kwenye kampeini za CCM siyo kwamba ni utaratibu umeibuliwa mwaka huu tu, bali ni jadi ya CCM. Diamond alitambulishwa kwa umma wa watanzania na kampeini za CCM za mwaka 2010!
 

Unakazi ngumu sana mkuu pole sana
 
Inaskitisha kuona media za nchi hii kujifanya hazioni nguvu kubwa na kukubalika kwa Tundu Lissu, leo magazeti mengi hayajaripoti wala kuweka tu picha za Tundu Lissu alipokuja Tunduma. Swali la kujiuliza, ni kweli bado media zinatishwa au ni uoga na kujipendekeza kwa serikali?

# Muwe na upendo kwa vyama vyote, Lissu anaweza kuwa Rais wako, hata asipokuwa Rais, amejitahidi kuwafumbua macho Watanzania na sasa watu hawashangazwi na miradi ya serikali kwani haina tofauti na awamu zilizowahi kupita.
 
kinachofanya Lisu acheze hapo ni hilo bakuli la kuchangisha pesa linalotembezwa anafurahia kuona watu wanaweka hela kwenye hilo bakuli
 
Bado tuna safari ndefu sanaa, kila mtu analinda maslahi ya tumbo lake.

Let's meet at the top, cheers 🍻
 
Waandike wasiandike, waoneshe picha wasioneshe, tumeshakata shauri. #NiYeye2020.
 
Magufuli akija Dar watasombwa watu kutoka Maneromango, Msanga na Bungu kuja kujaza viwanja maana itakuwa aibu kwanza watu tuko bize na Lissu..Otherwise wavunje kibubu wamlete Drake!
cheki hapo mama Samia alikuwa Temeke mwembe yanga kwa kampeni ona umati hapo ni watu wa jimbo la temeke tu

 
Sio siku moja ni 28 oct 2020✌✌✌✌😎💪
Kweli hakika. Tuhamasishane, tuwashawishi ndugu , jamaa na marafiki tukampigie kura kwa wingi iyo tarehe 28 October. Na kikubwa tulinde kura zetu kwa namna zote. Kuanzia mikoa ya chini ya Tanzania Ruvuma, Mtwara na mikoa yote hadi juu ya Tanzania mikoa ya Kagera, kigoma, Mwanza, Mara na Arusha, watu tuhamasishane, vijijini na mijini tukampigie kura kwa wingi huyu shujaa aliyeletwa kwetu na Mungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…