PSEUDOPODIA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2020
- 392
- 798
Magu Ni mkimbizi anaogopa ngara
"Ongeza sauti kidogo"Magu Ni mkimbizi anaogopa ngara
Siyo mrundi tena?Huyu ni Mnyarwanda, ndo maana amekaa kikatilikatili, chuki, visasi....Anauwezo wa kuwachomea ndani wafuasi wake kama kibwetere
Cretin at his best, 🤣 🤣Kuna Mgawanyiko Mkubwa ndani ya CDM kutokana na Maswala ya Fedha. Ni kweli hawako stable kwenye maswala ya kiuchumi lakini zile 50M bado inazidi kuwachanganya.
Mbowe kapiga pesa ndio Maana kampeni zao zinasuasua ,Kubwa zaidi kuliko hilo ni maelewano Mabaya kati ya Lissu na Mbowe.
Wakati wa mchakato wa kumpata mgombea wa CDM ,Mwenyekiti wa Chama Freeman Mbowe alikua hataki Lissu apate nafasi ya kuwa mgombea kupitia chama chake.
Hili litazidi kuwatafuna hadi pale watakapo kaa chini na kuamua kuweka mambo sawa ila kwa kipindi hiki hawataweza,lazima wapoteze uchaguzi huu.
Ok, hali ngumu. Tukutane Oct 28Siyo mrundi tena?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bavicha mna hali ngumu
Mil 50 ziichanganye cdm?Kuna Mgawanyiko Mkubwa ndani ya CDM kutokana na Maswala ya Fedha. Ni kweli hawako stable kwenye maswala ya kiuchumi lakini zile 50M bado inazidi kuwachanganya.
Mbowe kapiga pesa ndio Maana kampeni zao zinasuasua ,Kubwa zaidi kuliko hilo ni maelewano Mabaya kati ya Lissu na Mbowe.
Wakati wa mchakato wa kumpata mgombea wa CDM ,Mwenyekiti wa Chama Freeman Mbowe alikua hataki Lissu apate nafasi ya kuwa mgombea kupitia chama chake.
Hili litazidi kuwatafuna hadi pale watakapo kaa chini na kuamua kuweka mambo sawa ila kwa kipindi hiki hawataweza,lazima wapoteze uchaguzi huu.
Wote sawa Hutu na TutsiSiyo mrundi tena?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bavicha mna hali ngumu
Tundu Lisu ni sawa na kuwa amesusiwa afanye yeye peke yake mikutano ya kampeni.
CCM kwa mfano utamwona mama Samia kule Njombe na kule Arusha Kassim Majaliwa vivyo hivyo Rais Magufuli yupo Kigoma wote hao wananadi sera za CCM.
Ajabu kampeni za Chadema ni one man show!Kwanini?!Zama hizi kweli ni za one man show?!!
Yupo wapi Mbowe na Mnyika? Kwa nini na wao wasiigawane Nchi kama wanavyofanya CCM?!
Kwa sababu hiyo ya kutoigawana Nchi ki mkakati ni vigumu kuitoa CCM madarakani.
Maelezo haya ni hafifu sana ! Semeni ukweli, what is going on behind the curtains ?????Ni mgawanyo wa majukumu
Kuna team ya kampeni
Kuna team inayoshughulika na maswala muhimu ya chama...si kwamba kwakuwa kuna uchaguzi basi mambo mengine hayaendi
Wana muonea Jiwe huruma. Maana mapambano yakianza kila upande lazima asahau kuamkaTundu Lisu ni sawa na kuwa amesusiwa afanye yeye peke yake mikutano ya kampeni.
CCM kwa mfano utamwona mama Samia kule Njombe na kule Arusha Kassim Majaliwa vivyo hivyo Rais Magufuli yupo Kigoma wote hao wananadi sera za CCM.
Ajabu kampeni za Chadema ni one man show!Kwanini?!Zama hizi kweli ni za one man show?!!
Yupo wapi Mbowe na Mnyika? Kwa nini na wao wasiigawane Nchi kama wanavyofanya CCM?!
Kwa sababu hiyo ya kutoigawana Nchi ki mkakati ni vigumu kuitoa CCM madarakani.
Kwani bashiru yuko kwenye kampeniKwani vyama vingine mbali na CCM wanafanyaje kampeni? Lakini si kila chama kina mbinu zake za kampeni?
Tundu Lissu anajimudu pakubwa sana.
Anauwezo mkubwa wa kujenga Hoja.
Ana nguvu kubwa sana ya ushawishi.
Anaakili nyingi sana.
Hana haja ya kusemewa wala kupigiwa debe anajimudu Mno.
Yeye si kama Lowasa asiyejiweza kabisa jukwaani.
Mbowe yupo buzy na shughuli za kujenga chama.
Kuweka mikakati ya ushindi.
Kuongeza raslimali ndani yachama.
Kufuatilia mwenendo wa chama.
Kuandaa vijana na mawakala kuhakikisha CHADEMA haiibiwi kura hata moja.
TL mmoja ni sawa na viongozi 1000 wa CCM. Kwa hiyo anatosha. Waache wengine wafanye shughuli zingine mhimu.Tundu Lisu ni sawa na kuwa amesusiwa afanye yeye peke yake mikutano ya kampeni.
CCM kwa mfano utamwona mama Samia kule Njombe na kule Arusha Kassim Majaliwa vivyo hivyo Rais Magufuli yupo Kigoma wote hao wananadi sera za CCM.
Ajabu kampeni za Chadema ni one man show!Kwanini?!Zama hizi kweli ni za one man show?!!
Yupo wapi Mbowe na Mnyika? Kwa nini na wao wasiigawane Nchi kama wanavyofanya CCM?!
Kwa sababu hiyo ya kutoigawana Nchi ki mkakati ni vigumu kuitoa CCM madarakani.
You wish to hear what you want to hear?Maelezo haya ni hafifu sana ! Semeni ukweli, what is going on behind the curtains ?????