Themagufulianz
JF-Expert Member
- Apr 15, 2017
- 4,548
- 1,988
Ni vizuri ukaunga mkono juhudi za ukombozi la sivyo utabaki kuwa msaliti wa watanzania.
CCM mwaka huu haina pa kutokea.
Geita si ndio nyumbani kwa Jiwe?Hapa ni njiani GEITA NYANKUMBU... MDAA HUUU wanawake, wazee, vijana kwa watoto wanamsubiri wakiimba jina la raisi....
Lissu anakamua jiwe hadi linatoka maji!
Kama Tume itamrudisha basi tutegemee Hali mbaya. Ana hasira na watu fulani vibaya mno....!!Hapana TL ni shida ,watanzania wote m 50+ kila mmoja alikuwa anamuogopa Meko kuliko chochote lakini TL haogopi chochote na hii nadhani ni baada ya kukoswa risasi 16
Mikataba ya madini ipo wapi kwani?Hayo Ni makosa machache Kati ya mengi mazuri, sasa Yeye naye Alisema kwenye swala la madini kuwa tutashitakiwa MIGA, Je Hilo yeye analisemaje,
Kwamba Watanzania tuwe na Raisi muoga asiyethamini na kuvitetea vitu vyetu licha ya makosa yaliyofanyika huko nyuma?
Lissu anawagusa wanyonge, anasema apewe tu dhamana na atawalinda Watanzania yasiwapate yaliyompata yeye.
Subiri baada ya 28/10/2020 ndiyo utajua kumbe Maharage nayo ni mboga!!Hapana TL ni shida ,watanzania wote m 50+ kila mmoja alikuwa anamuogopa Meko kuliko chochote lakini TL haogopi chochote na hii nadhani ni baada ya kukoswa risasi 16
Mbinu yake kubwa ya jiwe ili apate kura za kutosha ni zile kauli zake za kutopeleka maendeleo ya aina yoyote endapo atakayechaguliwa pale ni toka chama pinzani.Lissu anawagusa wanyonge, anasema apewe tu dhamana na atawalinda Watanzania yasiwapate yaliyompata yeye.
Hapa kwenye sukari panahitaji majibu ya kina.... Ya kueleweka...Baada ya kukaa kwenye ajenda za ndege na uwanja wa ndege chato kwa muda mrefu Sasa karudi kwenye swala hatari la sukari.
Anasema "Ujapandisha mishahara kwa miaka 5 lakini sukari uliikuta 1800 sasahivi inauzwa 3000 halafu unajiita Rais wa wanyonge.
Rais gani wa wanyonge design hii?"
Anasema kahawa kilo moja ilikuwa inauzwa 2500 mwaka 2015 Wakati anaingia madarakani halafu Leo inauzwa 1100 yaani imeporomoka! Halafu unajiita Rais wa wanyonge wanyonge wa wapi hawa?
Sukari uliipandisha kwa ulimi wako na kahawa uliishusha kwa ulimi wako Sasa utakuwa Rais wa wanyonge wapi?
My take: Rais atafutiwe mtu wa kumjibia hoja za Lissu maana sioni uwezo wake wa kujibu hizi hoja na graph ya Lissu kila siku inapanda hata kwa mtu asiyependa kusikia kwa vyovyote ataguswa
Uwe CCM uwe upinzani hoja za Tundu Lissu zitakugusa tu.
Lissu anachofanya ni kuwatoa wananchi woga. Anakopita Lissu anauwa kabisa matumaini ya Magufuli.Mbinu yake kubwa ya jiwe ili apate kura za kutosha ni zile kauli zake za kutopeleka maendeleo ya aina yoyote endapo atakayechaguliwa pale ni toka chama pinzani.
Wananchi waoga wengi wanaamua kumpigia kura tu. Ila kiuhalisia hapendwi bwana jiwe.
😂😂😂Lissu anakamua jiwe hadi linatoka maji!
Baada ya kumgeuzageuza sasa AMELEGEA KABISA
Nakwambia baada ya tarehe hiyo kuna watu watalazwa baada ya kukosa wabunge hata 10 nakwambia Bukoba uwanja wa Gymcana kulikuwa na watu wachache sana lakini edited picha zinazosambaa mtandaoni ni tofauti kabisa.Subiri baada ya 28/10/2020 ndiyo utajua kumbe Maharage nayo ni mboga!!
Magufuli siyo wa mchezo mchezo angalia jamaa pumuzi imekata tayari.Tarehe 3 na sisi ACT wazalendo tutatangaza kumuunga mgombea wenu chadema Bwana Tundu Lissu. Shikamoo Maalim Seif Sharif
Kweli kabisa. Lissu kabadirisha upepo kabisa wa siasa Tanzania Aisee. Nilichokiona leo Geita sasa nimeamini Magufuli ni Raisi Mstaafu kuanzia hapo mwezi November 2020.Nilisema tokea mwanzo .Membe una sifa zote za kuwa raisi lakini mpishe Lissu kwa sababu Magu akupata mtu soft angemnyanyasa