Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za mgombea Urais kupitia CHADEMA, Tundu Lissu na Salum Mwalimu
Hayo Ni makosa machache Kati ya mengi mazuri, sasa Yeye naye Alisema kwenye swala la madini kuwa tutashitakiwa MIGA, Je Hilo yeye analisemaje,

Kwamba Watanzania tuwe na Raisi muoga asiyethamini na kuvitetea vitu vyetu licha ya makosa yaliyofanyika huko nyuma?
 
Baada ya kukaa kwenye ajenda za ndege na uwanja wa ndege chato kwa muda mrefu Sasa karudi kwenye swala hatari la sukari.

Anasema "Ujapandisha mishahara kwa miaka 5 lakini sukari uliikuta 1800 sasahivi inauzwa 3000 halafu unajiita Rais wa wanyonge.

Rais gani wa wanyonge design hii?"

Anasema kahawa kilo moja ilikuwa inauzwa 2500 mwaka 2015 Wakati anaingia madarakani halafu Leo inauzwa 1100 yaani imeporomoka! Halafu unajiita Rais wa wanyonge wanyonge wa wapi hawa?

Sukari uliipandisha kwa ulimi wako na kahawa uliishusha kwa ulimi wako Sasa utakuwa Rais wa wanyonge wapi?

My take: Rais atafutiwe mtu wa kumjibia hoja za Lissu maana sioni uwezo wake wa kujibu hizi hoja na graph ya Lissu kila siku inapanda hata kwa mtu asiyependa kusikia kwa vyovyote ataguswa

Uwe CCM uwe upinzani hoja za Tundu Lissu zitakugusa tu.
Hoja za Lissu ni uhalisia mtupu hazijibiki
 
Hapana TL ni shida ,watanzania wote m 50+ kila mmoja alikuwa anamuogopa Meko kuliko chochote lakini TL haogopi chochote na hii nadhani ni baada ya kukoswa risasi 16
Kifupi jamaa haogopi mahakama..haogopi kesi..haogopi Risasi na haogopi kifo maana alishaonja mauti ....

Kifupi Lissu haogopi chochote zaidi ya Mungu
 
Spana za Lissu si mchezo!! Si walikuwa wanapiga kelele eti maendeleo ya vitu!! Kiko wapi sasa??😂😂😂😂

Ndo mana tukisema Lissu ni mteule wa Mungu mataga inabidi wawe wanatuelewa saaana!

Ndani ya miezi mwezi mmoja tu wa kampeni za Lissu, wamachinga wameambiwa vitambulisho si lazima, ajira za walimu 13000 zimetoka, madaktari 1000 wameitwa kazini , watumishi wameanza kulipwa malimbikizo na kupandishwa madaraja na huko mikoani amri ya kujenga barabara zinatolewa.

Watanzania tuna kila sababu ya kumchagua Tundu Antiphas Lissu mwaka huu!!!

Ni yeye 🔥
 
Baada ya kukaa kwenye ajenda za ndege na uwanja wa ndege chato kwa muda mrefu Sasa karudi kwenye swala hatari la sukari.

Anasema "Ujapandisha mishahara kwa miaka 5 lakini sukari uliikuta 1800 sasahivi inauzwa 3000 halafu unajiita Rais wa wanyonge.

Rais gani wa wanyonge design hii?"

Anasema kahawa kilo moja ilikuwa inauzwa 2500 mwaka 2015 Wakati anaingia madarakani halafu Leo inauzwa 1100 yaani imeporomoka! Halafu unajiita Rais wa wanyonge wanyonge wa wapi hawa?

Sukari uliipandisha kwa ulimi wako na kahawa uliishusha kwa ulimi wako Sasa utakuwa Rais wa wanyonge wapi?

My take: Rais atafutiwe mtu wa kumjibia hoja za Lissu maana sioni uwezo wake wa kujibu hizi hoja na graph ya Lissu kila siku inapanda hata kwa mtu asiyependa kusikia kwa vyovyote ataguswa

Uwe CCM uwe upinzani hoja za Tundu Lissu zitakugusa tu.
Mwendo mpelampela.....
 
Sijawahi ona watu wengi kama nilioona jana Bukoba, na kile kidedea cha mapokezi mji mzima!

Dah! Jiwe kazi anayo kwa kweli
Screenshot_20200922-231956_YouTube.jpg
 
Baada ya kukaa kwenye ajenda za ndege na uwanja wa ndege chato kwa muda mrefu Sasa karudi kwenye swala hatari la sukari.

Anasema "Ujapandisha mishahara kwa miaka 5 lakini sukari uliikuta 1800 sasahivi inauzwa 3000 halafu unajiita Rais wa wanyonge.

Rais gani wa wanyonge design hii?"

Anasema kahawa kilo moja ilikuwa inauzwa 2500 mwaka 2015 Wakati anaingia madarakani halafu Leo inauzwa 1100 yaani imeporomoka! Halafu unajiita Rais wa wanyonge wanyonge wa wapi hawa?

Sukari uliipandisha kwa ulimi wako na kahawa uliishusha kwa ulimi wako Sasa utakuwa Rais wa wanyonge wapi?

My take: Rais atafutiwe mtu wa kumjibia hoja za Lissu maana sioni uwezo wake wa kujibu hizi hoja na graph ya Lissu kila siku inapanda hata kwa mtu asiyependa kusikia kwa vyovyote ataguswa

Uwe CCM uwe upinzani hoja za Tundu Lissu zitakugusa tu.
@MSAGA SUMU imesagwa njoo uinywe
 
Back
Top Bottom