paul sylvester
JF-Expert Member
- Mar 18, 2020
- 3,503
- 3,499
Hayo Ni makosa machache Kati ya mengi mazuri, sasa Yeye naye Alisema kwenye swala la madini kuwa tutashitakiwa MIGA, Je Hilo yeye analisemaje,
Kwamba Watanzania tuwe na Raisi muoga asiyethamini na kuvitetea vitu vyetu licha ya makosa yaliyofanyika huko nyuma?
Kwamba Watanzania tuwe na Raisi muoga asiyethamini na kuvitetea vitu vyetu licha ya makosa yaliyofanyika huko nyuma?