Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yule mwingine mkataba wake mwisho October akafanye kazi zingineAsubiri 28/10/2020 tumnyooshe kweli kweli!!
Kawazuie wasimpokee... Usituchoshe.Baada ya CHADEMA kuona kwenye viwanja hamna nyomi waanza kuzungusha misafara ya Lisu masokoni,kwenye vijiwe vya bodaboda mitaa ya machinga ili awapungie mikono picha walau zionyeshe kuwa apokelewa na maelfu kumbe anayafuata yaliko kabla kufika viwanja anakohutubia!! yaani analazimisha kupokelewa kwa kuwafuata watu huko huko waliko wampokee!!!
Yaani hata kama barabara iko straight lazima msafara upinde kona upite maeneo yenye watu wengi wauza mboga,sokoni,vijiwe vya bodaboda,wasukuma mikokteni walau ajisikie vizuri kuwa anapungiwa mikono
Chadema kwao kujaza watu viwanjani bado ni changamoto
Mhimili uliojikita chini zaidi ndo unaoongoza na kusimamia mihimili mingine!Anayesimamia mambo ya wabunge ni Spika tofauti na Daudi mchambuzi anavyoamini kuwa ni Rais wa JMT!
Lissu alishasema wataandama kabla ya Mkutano .... labda ndiyo hayo maandamano ya amani aliyoyazungumzia!!Baada ya CHADEMA kuona kwenye viwanja hamna nyomi waanza kuzungusha misafara ya Lisu masokoni,kwenye vijiwe vya bodaboda mitaa ya machinga ili awapungie mikono picha walau zionyeshe kuwa apokelewa na maelfu kumbe anayafuata yaliko kabla kufika viwanja anakohutubia!! yaani analazimisha kupokelewa kwa kuwafuata watu huko huko waliko wampokee!...
Usisahau kwamba ni mkakati wa CDM kufanya kampeni nyumba kwa nyumba na kitanda kwa kitanda. Tutakwenda hadi masokoni na makazini kuwaeleza watu sera zetu.Baada ya CHADEMA kuona kwenye viwanja hamna nyomi waanza kuzungusha misafara ya Lisu masokoni,kwenye vijiwe vya bodaboda mitaa ya machinga ili awapungie mikono picha walau zionyeshe kuwa apokelewa na maelfu kumbe anayafuata yaliko kabla kufika viwanja anakohutubia!! yaani analazimisha kupokelewa kwa kuwafuata watu huko huko waliko wampokee!...
Yangekuwa ni kweli unayoyasema ungekuja na supporting evidence.Baada ya CHADEMA kuona kwenye viwanja hamna nyomi waanza kuzungusha misafara ya Lisu masokoni,kwenye vijiwe vya bodaboda mitaa ya machinga ili awapungie mikono picha walau zionyeshe kuwa apokelewa na maelfu kumbe anayafuata yaliko kabla kufika viwanja anakohutubia!! yaani analazimisha kupokelewa kwa kuwafuata watu huko huko waliko wampokee!...
Ikitiki uje pia usemeLeo ngoma imebuma, shinyanga wanajitambua na kutambua kazi nzuri iliyofanywa na Mtetezi wa Rasilimali za Taifa JPM.
Kibaya cha jitembeza kwa nguvu zote za ..Haahaa ukweli unafahamika.lissu anajiuza mwenyewe sio kama jpm
Hana chochote zaidi ya blah blahYangekuwa ni kweli unayoyasema ungekuja na supporting evidence.
Kwa maon yako, inahis Jiwe Aliwah kufaa kua Rais?Goma linaendelea kubuma buuuuuu!!!! Uraisi sio kila mtu anafaa, kuna mwingine kipaji chake ni kujua Sheria Tu Ila sio kuwa Raisi...
Nitatoka nje ya siasa . Ila sentec yako yanmwisho. Kuwa america walitushindwa..ujerumani nao hivyo hivyo. Ndugu nikwambie tu.. kama ufaham ..kuwa ndege mbili za shirika la airtanzania ya kwanza kabisa..boeing 737-200. tulisaidiwa na wao wenyewe ndege zikapatikana.Kuna kijana wa kizungu anamikwara bubu anakesha mitandaoni ati kuwatishia Watanzania wamchague wakala wao
Ndugu lissu ulimwahidi nini huyu bwana Roberts mbona anaweweseka?
Je ulimwahidi madini yetu?
Je ulimwahidi gesi yetu?...
Hapo kwenye evidence huwa wanaukimbia uzi.Yangekuwa ni kweli unayoyasema ungekuja na supporting evidence.