Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za mgombea Urais kupitia CHADEMA, Tundu Lissu na Salum Mwalimu
Jiwe akubali tu yaishe. Mbaba wa watu atajipatia PRESHA, KISUKARI, KISONONO, KIPANDA USO, BP (oilcom, puma, engine, gapco, gbp, oryx) bure moyo usimamishe mapigo.

Ataitia nchi kwenye msukosuko wa kuweka bendera nusu mlingoti, vyuo na mashule yafungwe.
 
Kama ungekuwa na uwezo huo, ingeonekana, low IQ!
Nashukuru mkuu ,mwenye iq yake ,ila elewa binadam wote ni sawa ila sio sawasawa , unafikili lahana lazima upewe na mama mzazi aliekuleta duniani ,zingine unapata hapahapa bila chenga ,hapo ulipo kupita hapa hapa live ,so nakuonya usinifokee , low IQ ,wewe yako kubwa umeitumia fanyia Nini kuanzia mtaa unaokuzunguka ,ukiendelea iyo high IQ yako nitaichoma live pitia hapahapa bila chenga na itakua
 
CCM lazima waitishe kikao cha dharura, na wasipokuwa makini, wataishia kulaumiana kwenye hicho kikao wakitafuta mchawi wakati wa kulaumiwa atakuwa yuko high table.
Huyu jamaa amekuwa akiamini katika ushirikina na ubabe. Sasa kaona isiwe shinda....akapate nguvu kidogo za isangoma wake labda upepo utabadrika.
 
Uhuru Haki na Maendeleo ya watu Agenda yetu hiyo tuu watu wameikubali. Hatuna wasanii wala hatusombi watu ktk malori kama mifugo. Nimeanza kumuelewa Nabii Mwingira sasa kwamba huu ni mpango wa Mungu na atakaye cheza na mpango wa Mungu mwisho wake huwa mbaya sana. kama huamini kamuulize mfalme Sauli alipotaka kushindana na mfalme Daudi nini kilimpata?
 
Nashukuru mkuu ,mwenye iq yake ,ila elewa binadam wote ni sawa ila sio sawasawa , unafikili lahana lazima upewe na mama mzazi aliekuleta duniani ,zingine unapata hapahapa bila chenga ,hapo ulipo kupita hapa hapa live ,so nakuonya usinifokee , low IQ ,wewe yako kubwa umeitumia fanyia Nini kuanzia mtaa unaokuzunguka ,ukiendelea iyo high IQ yako nitaichoma live pitia hapahapa bila chenga na itakua


Hata kuandika vizuri haujui, Low IQ!
 
Back
Top Bottom