Wala hata asiende. Tushaelewa ujinga uliofanywa na john, hivyo tutamshugjulikia 28)10/2020. Lisu aendelee kutafuta kura maeneo ambayo hajakqnyaga hadi leoKabla ya kutoa taarifa hii naomba kupeleka rasmi malalamiko yangu kwa mods kuwa mabandiko yangu humu jamvini kwa siku takribani tatu sasa yanawekwa kapuni bila kuonekana kwa wana Jamii forum.
Sasa niende kwenye mada.
Leo Tundu Lissu akiwa Ikungi amesema kuwa jumanne ya wiki ijayo ataenda Chato kufanya mkutano wa kampeni na ameahidi kuutembelea uwanja wa ndege Chato.
Aidha Lissu ametoa rai kwa watu wa Chato kumuandalia majibu kama wananufaika na uwanja huo moja kwa moja au la.