Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 24,977
- 23,799
CCM wameishiwa uvumilivu huwezi kuzuia watu hiii ni kampeni na vyama VINASHINDANAEt 2020 hatupigi kampeni.
Labda kama walimanisha kutokupiga kampeni ya uzazi mpango sio kampeni za uchaguzi wa Rais.
[emoji23][emoji23][emoji23]Mwenyekiti wao hizi picha zinamfanya atembee na glucose
Huku ccm ilishajifia siku nyingi sanaNi wingi wa watu kujitokeza kumsikiliza LISSU angalia hapa ni Tarime Vijijini Leo hiii
View attachment 1582809
View attachment 1582809View attachment 1582809
Sasa hivi amekuwa kama mpga debe wa stendi, anatukana huyooo mbele ya vyombo vya habaripolepole huko alipo anafanya hv 🙈🙈🙈
Tarime siku zote huwa hawapindishi mambo hongereni makamanda.Ni wingi wa watu kujitokeza kumsikiliza LISSU angalia hapa ni Tarime Vijijini Leo hiii
View attachment 1582809
View attachment 1582809View attachment 1582809
wavumilie tu siasa ni Ushindani wala si VITA maamuzi yapo kwa WANANCHI na WANANCHI ndo SISIHuku ccm ilishajifia siku nyingi sana
wamebakisha mwezi tuSasa hivi amekuwa kama mpga debe wa stendi, anatukana huyooo mbele ya vyombo vya habari
Watu wengi watazidi kumfuata LISSU ...wao si wana wasaani Tupambane kwa hojaSasa hivi amekuwa kama mpga debe wa stendi, anatukana huyooo mbele ya vyombo vya habari
Huku ccm ilishajifia siku nyingi sana
Ahahahaa nahisi kwa sasa mnayaoga sanaEti ""Mapokezi ya Lissu yamejaa raia wenye bashasha, shangwe na vifijo huku mapokezi ya Magufuli yakitawaliwa na ukimya na protokali za serikali. ''"
Sasa utamfananisha Jpm na huyo tundu wenu ! JPM bado ni Rais wa nchi ulitaka apokelewe kihuni kama huyo kibaraka wenu!
Siasa ni SAYANSI...wawe na uvumilivu na Kusoma alama za NyakatiLumumba kumechafuka, kila mmoja anamlaumu mwenzake.
Wamebaki wanacheza ngoma ya Lissu.
Endeleeni kuwewesekaAhahahaa nahisi kwa sasa mnayaoga sana
matusi ya mwenyekiti wenu, na mabanzi mnapata mkitoka huko mnakuja kujitutumua na kutukana
Yani wanawapandisha kama mizigo binadamu wenzao, bila kuzingatia usalama waoUnapanda loli unapewa buku tano ya kura mjiniView attachment 1582819
Ccm ni maharamia yaliyokubuu majambazi makubwaYani wanawapandisha kama mizigo binadamu wenzao, bila kuzingatia usalama wao
Yaani balaa sebene analowapa lisu ni balaaa tupuLumumba kumechafuka, kila mmoja anamlaumu mwenzake.
Wamebaki wanacheza ngoma ya Lissu.
Wazee wameamua kujiweka kando wamelinda Heshima zao...Hivi nguli Mangula hawasaidii hawa ma-layman wa siasa? Au wanampuuza?
#JPMOut28/10
Mwenzao umati unamfuata kusikiliza Sera na Hoja anazotoaYani wanawapandisha kama mizigo binadamu wenzao, bila kuzingatia usalama wao