Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
CCM haikuwahi kupata mtu wa kuiponda kichwa kama huyu Lissu , mtu duni kama Polepole hawezi kupambana na Lissu wala mtu kama Magufuli asiye na hoja zozote hawezi kupambana na Lissu , sasa Tume ijiangalie , inaenda kudhalilika kabisaNi wingi wa watu kujitokeza kumsikiliza LISSU angalia hapa ni Tarime Vijijini Leo hiii
View attachment 1582809
View attachment 1582809View attachment 1582809
Wameamua kujitenga na uchafuWazee wameamua kujiweka kando wamelinda Heshima zao...
Tuonyeshe na jukwaa kuu.Ni wingi wa watu kujitokeza kumsikiliza LISSU angalia hapa ni Tarime Vijijini Leo hiii
View attachment 1582809
View attachment 1582809View attachment 1582809
Kabisa Mkuu na sio muda mrefu Waatanza kusimama Upande wa LISSU na juwa huko walipo hawapendi kinacho tokeaWameamua kujitenga na uchafu
Ni wingi wa watu kujitokeza kumsikiliza LISSU angalia hapa ni Tarime Vijijini Leo hiii
View attachment 1582809
View attachment 1582809View attachment 1582809
Unatia aibu sana !Tuonyeshe na jukwaa kuu.
Kabisa Mkuu na sio muda mrefu Waatanza kusimama Upande wa LISSU na juwa huko walipo hawapendi kinacho tokea
Kuomba kuonyeshwa jukwaa ni jambo la aibu. Mbona umepanic brother kwani kuna kitu gani?Unatia aibu sana !
Leo mmezalilika sana kwa Political -Crechelism Stay tuned kesho Wazee wa Taifa wanaamkaTuonyeshe na jukwaa kuu.
Sasa hivi mtabaki kakikundi Siasa ni SAYANSIKuomba kuonyeshwa jukwaa ni jambo la aibu. Mbona umepanic brother kwani kuna kitu gani?
Jibu hoja. Kudhalilika na nn? Hizi kelele zenu za mitandaoni mwisho wake 30 Oktoba. Mtapoteana wote humu.Leo mmezalilika sana kwa Political -Crechelism Stay tuned kesho Wazee wa Taifa wanaamka
Mkuu huku Wame chachaamaaa....."Aksante Tarime, aksante Sirari, Aksante Butiama" TAL-2020
Kwani ni uongo kwamba siasa siyo sayansi?Sasa hivi mtabaki kakikundi Siasa ni SAYANSI
Chakubanga aisseeeh katuni ile iliwika sanaJibu hoja. Kudhalilika na nn? Hizi kelele zenu za mitandaoni mwisho wake 30 Oktoba. Mtapoteana wote humu.
Kawaulize waliojifungia 5 days na kuleta aibu ya Mwaka leo....hiyo ni ENGO ya kwanza mmerengeshwa mmejaa...Kwani ni uongo kwamba siasa siyo sayansi?
Wamuondoe Iissu tuone , term hii we are serious and we are tiredNi wingi wa watu kujitokeza kumsikiliza LISSU angalia hapa ni Tarime Vijijini Leo hiii
View attachment 1582809
View attachment 1582809View attachment 1582809
NyunguMwenyekiti wao hizi picha zinamfanya atembee na glucose
Atawasaidiaje wakati walitaka kumuua na sumu na bila aibu walienda kumsabahi hospitaliniHivi nguli Mangula hawasaidii hawa ma-layman wa siasa? Au wanampuuza?
#JPMOut28/10
Wamechelewa Mkuu Taifa limeamuwa kwenda na LISSUWamuondoe Iissu tuone , term hii we are serious and we are tired