Roho itawatoka mwaka huu.
Unataka ahojiwe kila siku?
Unataka aandikwe kila siku?
Unataka hivyo vyombo viache Mambo ya nchi zao viwe LIVE kwa Mambo ya nchi nyingine?
Mara ngapi umesikia au kuona DW, VOA, BBC au CNN wakimhoji Trump?
Acha Dawa Iwaingie ili mpone