Mpinzire
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 7,503
- 13,463
Moderator sio watu wazuri! Yani mi kuanzisha uzi na kuweka link ili watu wafatilie kinachoendelea huko Segerea wameona ningwa! Eti wamefuta uzi wangu aiseeUpo Kariakoo, mkuu?!! Mbona nimeshakushukuru kwamba upo Segerea unasaidia live update ya mkutano!!