Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za mgombea Urais kupitia CHADEMA, Tundu Lissu na Salum Mwalimu
Upo Kariakoo, mkuu?!! Mbona nimeshakushukuru kwamba upo Segerea unasaidia live update ya mkutano!!
Moderator sio watu wazuri! Yani mi kuanzisha uzi na kuweka link ili watu wafatilie kinachoendelea huko Segerea wameona ningwa! Eti wamefuta uzi wangu aisee
 
Msije mkawa mnapost picha za siku ya mapokezi yake akitokea kwa mabeberu kwenye matibabu maana CHADEMA drama haziwaishii
Mabeberu ndio waume wa Afrika, ndio wanaoilisha Afrika, wao ni mabeberu huku Afrika hasa Tanzania ikiwa majike.
 
Nilifikiri unatuletea picha za Segerea kumbe Kariakoo!! Segerea vipi au mnaendelea kutengeneza picha baadae mtuletee kwamba kulikuwa na nyomii ya kufa mtu?
Nilianzisha uzi hapa na kuweka link ya live huko Segerea eti moderator wamefuta uzi wangu! Sijui nawao wanateseka!
 
Hapo kariakoo huwa wanamlaki yeyote yue, hata wewe ukipita ba balo la mitumba watakushangilia, akienda mtu kula takataka watamshangilia, wakienda askari kupiga watu watashangiliwa mwizi akiiwapua anashangiliwa hata aliyekwapuliwa naye hushangiliwa.
Na hapohapo kwenye kumlaki shughuli zingine zinaendelea kimya kimya. Kariakoo kila tukio ni fursa😁😁😁
 
Nilifikiri unatuletea picha za Segerea kumbe Kariakoo!! Segerea vipi au mnaendelea kutengeneza picha baadae mtuletee kwamba kulikuwa na nyomii ya kufa mtu?
Haya sema lingine:

1598798924750.png
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
NiYeye2020 maccm yamenuna kumuona mtu wa watu kipenzi cha Watanzania na Chaguo la Mungu jinsi anavyozidi kupeta.

Huu ni umati wa wananchi waliojitokeza leo kumlaki Mgombea Uraisi wa Jamuhuru ya Muungano wa Tanzania kupitia CHADEMA, Mhe.Tundu Lissu.

View attachment 1553315

Hapa chini ni picha ya wananchi waliofika katika Uwanja wa Shule ya Msingi Liwiti,Tabata kumsikiliza:

View attachment 1553348
 
Back
Top Bottom