Nyamsusa JB
JF-Expert Member
- Jul 9, 2015
- 567
- 1,564
kama ilivyo asili "Hakuna Mtu wa Kuizuia Reggae na ni kwa sababu moja tu nayo ni kua Reggae Ipo Imara. No Body Can Stop Reggae, Because Reggae is Strong.
Ndivyo Ilivyo kwa Mh Tundu Lissu hakuna wa Kumzuia na ni kwa sababu moja, Lissu yupo Imara kama Reggae.
They tried to kill Reggae many years ago hawakuweza, walijaribu Kumuua Lissu lakini pia hawakuweza.
Reggae itabaki kua Reggae na Lissu atabaki kua Lissu. Usijaribu Kuvizuia hivi vitu viwili Reggae na Mhe Lissu ni Haiwezekani vinginevyo wewe ndo Utaumia.
Msijaribu kumzuia Lissu Mtaumia.
Ndivyo Ilivyo kwa Mh Tundu Lissu hakuna wa Kumzuia na ni kwa sababu moja, Lissu yupo Imara kama Reggae.
They tried to kill Reggae many years ago hawakuweza, walijaribu Kumuua Lissu lakini pia hawakuweza.
Reggae itabaki kua Reggae na Lissu atabaki kua Lissu. Usijaribu Kuvizuia hivi vitu viwili Reggae na Mhe Lissu ni Haiwezekani vinginevyo wewe ndo Utaumia.
Msijaribu kumzuia Lissu Mtaumia.