Moderator sio watu wazuri! Yani mi kuanzisha uzi na kuweka link ili watu wafatilie kinachoendelea huko Segerea wameona ningwa! Eti wamefuta uzi wangu aiseeUpo Kariakoo, mkuu?!! Mbona nimeshakushukuru kwamba upo Segerea unasaidia live update ya mkutano!!
Mabeberu ndio waume wa Afrika, ndio wanaoilisha Afrika, wao ni mabeberu huku Afrika hasa Tanzania ikiwa majike.Msije mkawa mnapost picha za siku ya mapokezi yake akitokea kwa mabeberu kwenye matibabu maana CHADEMA drama haziwaishii
Nilianzisha uzi hapa na kuweka link ya live huko Segerea eti moderator wamefuta uzi wangu! Sijui nawao wanateseka!Nilifikiri unatuletea picha za Segerea kumbe Kariakoo!! Segerea vipi au mnaendelea kutengeneza picha baadae mtuletee kwamba kulikuwa na nyomii ya kufa mtu?
Wajenzi huru kutoka UbeligijiFreemasonry ndio nini?
Au wameuficha kwenye uzi mwingine!Nilianzisha uzi hapa na kuweka link ya live huko Segerea eti moderator wamefuta uzi wangu! Sijui nawao wanateseka!
Na hapohapo kwenye kumlaki shughuli zingine zinaendelea kimya kimya. Kariakoo kila tukio ni fursa😁😁😁Hapo kariakoo huwa wanamlaki yeyote yue, hata wewe ukipita ba balo la mitumba watakushangilia, akienda mtu kula takataka watamshangilia, wakienda askari kupiga watu watashangiliwa mwizi akiiwapua anashangiliwa hata aliyekwapuliwa naye hushangiliwa.
Inaitwa danganyatotoHuu ni umati wa wananchi waliojitokeza leo kumlaki Mgombea Uraisi wa Jamuhuru ya Muungano wa Tanzania kupitia CHADEMA, Mhe.Tundu Lissu.
View attachment 1553315
Siwatofautishi na madadapoaHivi chadema leo wana mkutano kweli mbona hawaeleweki?
Ndiyo acha upuuzi. Umri bila akili na hekima si kitu. Hata panya wana umri.Usinitukane nakuheshimu Sana na umri mkubwa kuliko mamako
Ndo ukarudi kibandani kwako Kariakoo?!Moderator sio watu wazuri! Yani mi kuanzisha uzi na kuweka link ili watu wafatilie kinachoendelea huko Segerea wameona ningwa! Eti wamefuta uzi wangu aisee
Hali ni mbaya sio mitandaoni mpaka mitaani jamaa amechuja mapema sana.... Tusubiri kule alipopita akitafuta wadhamini tutapata jibu la nyongeza....Chadema hadi huruma yani
Haya sema lingine:Nilifikiri unatuletea picha za Segerea kumbe Kariakoo!! Segerea vipi au mnaendelea kutengeneza picha baadae mtuletee kwamba kulikuwa na nyomii ya kufa mtu?
Huu ni umati wa wananchi waliojitokeza leo kumlaki Mgombea Uraisi wa Jamuhuru ya Muungano wa Tanzania kupitia CHADEMA, Mhe.Tundu Lissu.
View attachment 1553315
Hapa chini ni picha ya wananchi waliofika katika Uwanja wa Shule ya Msingi Liwiti,Tabata kumsikiliza:
View attachment 1553348
Hahahahahaha..... unatuletea picha ya face badala ya kuleta picha ya juu kama za Dodoma jana! Hapo watu ni kiduchu mno. Ngoja tulete iliyopigwa na drone yetu!
Hopeless!AMANDLA!
Wekeni picha iliyopigwa kwa juu tuone!
Duh... Kukata tamaa kwa hali ya juu,AMANDLA!