Trust None
JF-Expert Member
- Feb 12, 2018
- 1,260
- 4,419
Wanatakiwa kujitambua, wakumbuke kuwa kampeni ni gharama na wapiga kura wengi wanatumia redio kuliko tv na mitandao ya simuChadema kila mtu ni kambare!
Live streaming tu imewashinda.
Hayo uliyowashauri watayawezea wapi?
Ushauri mzuriCHADEMA hamuwezi kujilinganisha na wenye rasilimali za nchi tangu uhuru, watu ambao baada ya vyama vingi (1992) waliambiwa warudishe mali zote serikalini ili mfumo wa vyama vingi uanze vyama vyote vikiwa sawa lakini walikataa...
Muache tu unamuonea bure. Katumwa kazi asiyoiweza.Yaani ulitakaje hebu funguka
This is for Great thinkers OnlyYaani ulitakaje hebu funguka
Ulitaka awe amejenga madaraja ndio awe rais? Au awe ameua watanzania wangapi?Kuwa mgombea Urais unahitaji kuwa na profile au CV inayoonesha uliwahi kufanya jambo muhimu kwa jamii unayoitarajia kuongoza iwapo ukipewa fursa.
Nikimuweka lissu kwenye "barometer" ya siasa na maendeleo ya Tanzania nakosa jambo lenye mashiko ambalo linaweza kutumika kama rejea kwamba aliwahi kuongoza jamii na kuiletea Maendeleo flani.
Ikumbukwe kuwa nafasi ya Urais sio nafasi ya kufanyia majaribio ...
Kama kuna jambo ambalo ni Iconic kwa maendeleo,uchumi na ustawi wa Taifa lililowahi kufanywa basi namchallange aliseme kwetu sisi wapiga kura.
Tuanzie jimboni alipowahi kuwakilishaUlitaka awe amejenga madaraja ndio awe rais? Au awe ameua watanzania wangapi?
I see.. great stinker uko vizuri!This is for Great thinkers Only
Amezuia ufisadi mkubwa sana wa madini na mambo mengine makubwa na ndio huko alikopigwa risasi na mafisadi papa.Tuanzie jimboni alipowahi kuwakilisha
Lisu inje ya kiki zile za kutangaza ushuhuda na kutoza sadaka kwenye zile ndooo nyeupe, yaaaniiii hana loloteee nikupayukapayukaaa tyyuuuuu.Kuwa mgombea Urais unahitaji kuwa na profile au CV inayoonesha uliwahi kufanya jambo muhimu kwa jamii unayoitarajia kuongoza iwapo ukipewa fursa.
Nikimuweka lissu kwenye "barometer" ya siasa na maendeleo ya Tanzania nakosa jambo lenye mashiko ambalo linaweza kutumika kama rejea kwamba aliwahi kuongoza jamii na kuiletea Maendeleo flani.
Ikumbukwe kuwa nafasi ya Urais sio nafasi ya kufanyia majaribio ...
Kama kuna jambo ambalo ni Iconic kwa maendeleo,uchumi na ustawi wa Taifa lililowahi kufanywa basi namchallange aliseme kwetu sisi wapiga kura.
ha ha ha kama ShangaziAlikuwa rais wa TLS.Ana uzoefu na urais
Amemteka nani na wakati kutekwa kwenu yalikuwa ni maigizo yenu ilimpate kiki kwa mabeberu, wawape nguvu mharibu amani ya Tanzania??John yeye anafamika kwa utekaji, uuwaji, na kupiga watu risasi
Jinga lao ccmKuwa mgombea Urais unahitaji kuwa na profile au CV inayoonesha uliwahi kufanya jambo muhimu kwa jamii unayoitarajia kuongoza iwapo ukipewa fursa.
Nikimuweka lissu kwenye "barometer" ya siasa na maendeleo ya Tanzania nakosa jambo lenye mashiko ambalo linaweza kutumika kama rejea kwamba aliwahi kuongoza jamii na kuiletea Maendeleo flani.
Ikumbukwe kuwa nafasi ya Urais sio nafasi ya kufanyia majaribio ...
Kama kuna jambo ambalo ni Iconic kwa maendeleo,uchumi na ustawi wa Taifa lililowahi kufanywa basi namchallange aliseme kwetu sisi wapiga kura.