Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Kapewa ruzuku ya umma ambayo ni kodi zetu pia Wabunge wa Chadema walichangishwa pesa kwa miaka mitano kwa ajili ya kampeni za uchaguzi 2020, hilo hulioni?
Weka kiwango cha pesa alichonacho ikiwemo hiyo michango v/s mahitaji ili tupime ni kiasi gani kinahitajika.